• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Mh. Ummy awaagiza watendaji wa afya kuwa na takwimu sahihi muda wote.

imewekwa Tar: August 18th, 2017

Waziri wa afya Maendeleo ya Jamii jinsia wazeena watoto Mheshimiwa Ummy Mwalimu, ameiagiza timu ya uendeshaji wa huduma zaafya ya mkoa wa Rukwa, kusimamia utendaji wa vituo vyote vya kutolea huduma yaafya ili kudhibiti takwimu zisizokuwa sahihi, ambazo zinasababisha bajeti yadawa isiwe halisi na kuendelea kuwepo upungufu mkubwa wa dawa.

Waziri huyo Ummy Mwalimu akiongea kwenye kituo cha afya chaMatai wilayani Kalambo, ameshangazwa kuona menejimenti ya kituo hicho cha afyaambacho hivi sasa kinatumika kama hospitali ya wilaya hiyo, inakuwa haijui kwauhalisi bajeti ya dawa, na huku wakiendelea kupata bajeti ya kiwango cha katakwa idadi ya watu elfu tatu, wakati sasa matai ni makao makuu ya wilaya naidadi ya watu ni zaidi ya 10,000 jambo ambalo haliendani na upatikanaji wa dawa.

Nae katibu tawala wa Wilaya ya Kalambo Bw. Frank Sichalwe, aliilalamikia boharikuu ya dawa MSD kanda ya Mbeya, kwa kuwapelekea dawa nyingi ambazo zinazokaribia kuisha muda wa matumizi, na kuongeza kuwa wilaya hiyo inakabiliwa na tatizo kubwa la kutokuwa na gari la wagonjwa kabisa jambo ambalo linasababisha serikali kushindwa kufikisha huduma katika vijiji vilivyo mbali na makao makuu ya mji. 

Kwa kujibu hilo Mh. Ummy Mwalimu aliwatahadharisha watendaji wa Afya katika kituo hicho kuhakikisha wanaagiza dawa wanazohitaji mapema na kusisitiza kuwa bohari ya dawa haiwezi kuwapelekea dawa bila ya kujua mahitaji yao. 

Matangazo

  • Hotuba ya Bajeti ya WN -OR TAMISEMI 2022/23 April 20, 2022
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi April 20, 2022
  • Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) October 09, 2018
  • Kodi kwa Maendeleo September 15, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Sensa

    July 10, 2022
  • Maandalizi ya Sensa Rukwa

    July 08, 2022
  • Maandalizi ya Sensa Rukwa

    July 08, 2022
  • Chanjo Polio

    May 18, 2022
  • Angalia Zote

Video

RC Mkirikiti akabidhiwa Ofisi Rukwa
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Regional Block, 90 Mwl. Julius Nyerere Road

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0764902066

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa