Mheshimiwa Charles Makongoro Nyerere, Mkuu wa Mkoa wa Rukwa amewasili katika kituo chake kipya cha kazi leo Jumatatu ya tarehe 12 Juni 2023.
Mheshimiwa Makongoro aliteuliwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa tarehe 23 Mei 2023.
Baada ya kuwasili amepokelewa na watumishi wa Sekretarieti ya Mkoa wa Rukwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Rukwa.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani
Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA
Simu: 025 280 2137
Simu: 0735019734
barua pepe: ras@rukwa.go.tz
Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa