• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Miradi ya zaidi ya Shilingi Bilioni 20 kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Rukwa.

imewekwa Tar: May 7th, 2018

Mwenge wa Uhuru wa Tanzania unaratajiwa kuweka mawe ya msingi, kukagua na kuzindua miradi yenye thamani ya shilingi 20,499,194,866 Mkoani Rukwa ikiwemo miradi ya maendeleo 43 na vikundi 48 katika kutekeleza malengo ya serikali ya awamu ya tano nchini.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo alipokuwa akisoma hotuba ya mapokezi ya mwenge huo wa Uhuru katika Kijiji cha Kizi, Wilayani Nkasi mpakani mwa Mkoa wa Rukwa na Katavi.

Mh. Wangabo alibainisha kuwa katika fedha hizo wananchi wamechangia shilingi 654,373,600, halmashauri zikiwa zimechangia shilingi 323,187,500, na serikali kuu nayo ikiwa imechangia 15,958,184,766 huku wadau wengine wakiwa wamechangia shilingi 3,563,499,000.

Aidha Mh. Wangabo alimpongeza Mkuu wa Mkoa wa Katavi kwa kumaliza kukimbiza mwenge ukiwa salama na kuwatunza wakimbiza mwenge na kuingia katika MKoa wa  Rukwa wakiwa na afya nzuri na kumuhakikishia kuukimbiza mwenge huo wa uhuru kwa amani na usalama katika kipindi chote ukiwepo katika Mkoa wa Rukwa

“nikuhakikishie kuwa Wakimbiza Mwenge wote wa Kitaifa mliotukabidhi tutawalea, tutawatunza na kuwaenzi na kuhakikisha kuwa wanahitimisha Mbio za Mwenge katika Mkoa wetu kwa amani na utulivu.” Alisema.

Mwenge wa uhuru wa mawaka huu ukiwa umebeba kauli mbiu ya ‘Elimu ni ufunguo wa maisha; Wekeza sasa kwa maendeleo ya Taifa letu’ Mh. Wangabo amesema kuwa wanafunzi waliojiunga na darasa la kwanza kwa shule za msingi wamevuka maoteo ambapo wanafunzi 50,887 sawa na asilimia 106, huku wanafunzi wa shule ya awali wakifikia 39,486 ambayo ni sawa na asilimia 92 ya maoteo.

Mkoa wa rukwa ni mkoa wa sita kutembelewa na mwenge wa uhuru tangu kuwashwa kwake mkoani Geita mwanzoni mwa mwezi wa ne mwaka huu, na kutegemewa kukimbizwa kwa zaidi ya kilomita 721 katika Halmashauri nne ndani ya mkoa wa Rukwa.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa