• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Mkombozi wa Wakulima Rukwa apatikana

imewekwa Tar: November 9th, 2020

Licha ya kuwa Mkoa wa Rukwa ni wa pili katika uzalishaji wa chakula kitaifa lakini wakulima mkoani humo wanatumia zana duni kuzalisha mazao na hivyo kuwa na kipato kisichoendana na nguvu wanazotumia kuzalisha.

Serikali ya mkoa wa Rukwa kwa kushirikia na Kampuni ya Agricom Africa Limited imeanza hamasa kwa wakulima ili waanze kutumia zana za kisasa katika kilimo kwa kuanzia wametoa mkopo wa matrekta kwa wakulima 10 ili  kuwongeza uzalishaji na kuinua kipato chao.

Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi wa kampuni ya Agricom Philipo Kulaya alisema kuwa kampuni hiyo ilianza kwa kutoa mafunzo kwa wakulima waliokidhi vigezo vya kupewa mkopo huo juu ya umuhimu wa kutumia zana za kisasa na kuachana na zana za asili.

“Kupitia kampuni ya Agricom Africa Limited chini ya mwamvuli wa Serikali kwa kuwatumia maafisa ushirika, maafisa zana ambao walikuwepo kwenye hii hafla, tulichokifanya sisi ni kuwaelimisha na kuwafahamisha utofauti wa kutumia majembe ya mikono, jembe la ng’ombe na trekta” Alisema.

Aidha, Kaimu Katibu Tawala Msaidizi Uchumi na Uzalishaji Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Ocran Chengula alisema kuwa matumizi ya zana za kisasa za kilimo yataongeza uchumi wa wakulima hali itakayopelekea kuongeza uchumi wa taifa na kuwa na chakula cha kutosha.

“Kwa takwimu zilizopo kutoka wizara ya kilimo mkoa wa Rukwa ni wa pili kwa uzalishaji wa chakula, upatikanaji wa matrekta haya yaliyoletwa na Agricom ni mkombozi mkubwa sana, uchumi wa mkoa wa Rukwa kwa asilimia 90 ya wananchi wanategemea kilimo, kwahiyo tunaamini kwamba hizi trekta zikienda mashambani na kuanza kulima na wakulima wakizingatia maelekezo ya maafisa ugani, tutapata mazao mengi na watu watauza na uchumi wetu utakuwa,” Alisisitiza.

Kwa upande wake Mgeni Rasmi katika hafla hiyo fupi ya makabidhiano ya matreka hayo kwa wakulima Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Dkt. Khalfan Haule aliishauri Kampuni ya Agricom Africa Limited kuweza kuwa na vipuri karibu ili wakulima watakapopatwa na shida ya uharibifu wa matrekta hayo basi iwe rahisi kutengenezwa.

“Hakikisheni kuwa aina zote za vipuri hitajika, kulingana na aina ya trekta zilizopo, vinakuwepo kwa wakati wote, vipuri vyote muhimu viwepo hapa Sumbawanga, ili hawa waliopata mkopo huu waweze kufika kwa urahisi na kuweza kupata huduma hiyo,” Alisema.

Kati ya Vyama vya wakulima 166 vilivyoomba kupatiwa mkopo katika halmashauri nne za mkoa wa Rukwa ni vyama 88 tu ndivyo vilivyopita kwenye mchujo wa kupatiwa mkopo wa trekta na hivyo ndivyo pekee vitakavypatiwa mkopo huo kwa fedha taslimu na kwa mkopo.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa