• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Mradi wa Maji Kirando Wakamilika

imewekwa Tar: October 25th, 2021

BILIONI 3 ZAKAMILISHA MRADI WA MAJI KIRANDO KAMWANDA

Wananchi 74,483 wa vijiji saba vilivyopo mwambao wa Ziwa Tanganyika katika tarafa ya Kirando wilaya ya Nkasi watanufaika na upatikanaji maji safi na salama kufuatia serikali kukamilisha mradi wa Kirando Kamwanda..

Hayo yamebainishwa juzi na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Sumbawanga (SUWASA) Mhandisi Gibon Nzowa wakati Akiwasilisha taarifa ya mradi huo kwenye ziara ya mkuu wa mkoa iliyofanyika eneo la mradi kijiji cha Kirando.

“Mradi huu wa Kirando Kamwanda umesanifiwa ili kufikia watu 74,483 wa tarafa ya Kirando ambapo jumla ya shilingi Bilioni 3.1 zimetumika kwenye utekelezaji wa mardi huu uliofikiwa asilimia 90 hadi sasa” alisema Mhandisi Nzowa.

Nzowa alitaja kazi zilizkmilika kuwa ni ujenzi wa Chanzo toka Ziwa Tanganyika, ujenzi wa njia kuu ya bomba mita 433, ujenzi wa tanki jipya la kuhifadhia maji lenye lita Milioni moja na ujenzi wa njia ya matandao wa usambazaji maji wenye urefu wa kilometa 26.8

Akizungumza na wananchi wa Kirando kwenye mkutano wa hadhara ,Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Joseph Mkirikiti aliwasihi watunze vyanzo vya maji na miundombinu ili mradi huo udumu vizazi vingi vijavyo

Mkirikiri aliongeza kusema ni jukumu la kamati ya watumie maji Kirando kuweka utaratibu wa kuchangia fedha kidogo kwa ajili ya kuendesha mradi huo kwa kuwa serikali itapenda kuona fedha iliyotumika ikirudi kwa njia ya kutunza mradi huo .

“Gharama ya utekelezaji mradi huu wa maji haiendani na kiasi cha fedha kitakachorudi baada ya mradi kuanza, hivyo tunataka wananchi kupitia jumuiya ya watumie maji kuwa na utaratibu wa kuchangia fedha za kufanyia ukarabati pale miundombinu itakapoharibika” alisisitiza Mkuu huyo wa Mkoa.

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Kirando Kakuri Seba aliipongeza serikali kwa kukamilisha mradi huu ambao ulianza muda mrefu ambapo awali ulikabiliwa na ukosefu wa fedha lakini serikali ya awamu ya Tano imekamilisha kwa kutoa fedha.

Kiongozi huyo wa kata alimhakikishia Mkuu wa Mkoa kuwa ataendelea kuhamasisha wananchi kuutunza mradi huo wa maji ikiwemo miundombinu yake iwe endelevu.

Kwa mujibu wa taarifa ya SUWASA mradi utahudumia vijiji saba vya wilaya ya Nkasi  ambavyo ni Kamwanda, Mtakuja, Kichangani, Itete, Chongokatete, Shaurimoyo na Isasa.

Mwisho

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa