• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

“Mshirikiane na SIDO kuwa na Viwanda 25 kwa kila Halmashauri hadi Disemba 2018,” RC Wangabo

imewekwa Tar: November 16th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ameziagiza halmashauri nne za mkoa huo kushirikiana na Shirika la viwanda vidogo nchini SIDO kuhakikisha wanakuwa na viwanda vipya 25 hadi kufikia Disemba mwaka 2018 ili kutimiza agizo la serikali la kuwa na viwanda 100 vipya kwa kila Mkoa.

Amesema kuwa SIDO ndio msaada mkubwa wa kuhakikisha kuwa ndoto hii inatimia kwani shirikia hilo limejaa wataalamu lakini pia hutoa mafunzo ya viwanda vidogo na vya kati kwa wajasiliamali hivyo hawana budi kuwa nao karibu.

“Serikali imekwishaagiza tuwe na viwanda 100 hadi kufikia Disemba mwaka 2018 na kwa mahisabu ya haraka mkoa una Halmashauri nne, 100 ukigawa kwa nne ni 25, kwahiyo hadi kufikia Disemba 2018 kila Halmashauri iwe na viwanda hivyo vipya, na msaada upo kuna SIDO hapo ambao wataalamu wamejaa na wanatoa mafunzo kila siku ya viwanda vidogo na vya kati watawasadidia na mimi nitalisismamia,” Alisema

Ameyasema hayo baada ya kupokea malalamiko ya diwani wa kata ya Mtowisa Mh. Edgar Malini. alipomkabidhi Mh. Wangabo Skafu iliyotengenezwa na kilichokuwa kiwanda cha nguo katika kata hiyo ambacho kilifungwa miaka zaidi ya 30 na kubaki majengo.

Mh. Edgar Malini alisema kuwa kiwanda hicho kilifunguliwa na Aliyekuwa Waziri Mkuu Mh. Rashid mfaume Kawawa lakini kwa sasa uzalishaji wake umekwama kwani pamba haipatikani kwenye maeneo yao na hivyo kuwa na mazingira magumu ya uzalishaji wa nguo katika kiwanda hicho.

Kwa sasa Mkoa wa Rukwa una jumla ya viwanda 950 huku kukiwa na kiwanda kikubwa kimoja, viwanda vya kati 2 na viwanda vidogo 947.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa