• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Mufti wa Tanzania apongeza ushirikiano baina ya waislamu na serikali ya Mkoa wa Rukwa

imewekwa Tar: April 30th, 2018

Shekhe Mkuu na Mufti wa Tanzania Aboubakar Bin Zuber Bin Ali amepongeza ushirikiano uliopo baina ya baraza la waislamu la Mkoa  pamoja na serikali ya Mkoa wa Rukwa katika kutatua kurekebisha au kuyaweka sawa masuala mablimbali kwa maslahi ya watanzania.

“siku zote huwa nawaamnbia viongozi wangu hawa wa baraza kwamba wafanye kila wanachokifanya lakini wahakikishe kuwa wanajenga mahusiano mazuri na serikali ya mahala walipo, baada ya kujenga mahusiano na wananchi wa dini zote basin a serikali pia na katika eneeo hili ninapowauliza panaonesha pana mashirikiano mazuri, cha kusema ni kwamba ushirkinao na uhusiano uendelee na udumu vizuri kwasababu ndio utakaoweza kujenga nchi yetu katika masuala yote ya maendeleo,” alisema.

Wakati akisoma taarifa ya Mkoa, mwakilishi wa mkuu wa Mkoa wa Rukwa ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Dkt. Khalfan Haule amepongeza juhudi mbalimbali zinazofanywa na waislamu katika kuiletea nchi maendeleo na kumuomba mufti wa Tanzania kuikumbuka Rukwa katika mipango yao mbalimbali ya uwekezaji katika sekta ya afya, maji, elimu na viwanda.

“Baada ya serikali kutangaza elimu bure kuna mafuriko ya wanafunzi huko mashuleni, hii inaonesha kwamba bado miundombinu ya elimu bado haitoshelezi hivyo tunahitaji kwenye eneo hilo ushirikinao wa kujenga shule za msingi, sekondari na hata vyuo, sisi ni eneo la pembezoni lakini tunapenda kuliita eneo la kipaumbele hivyo kwenye mipango yako basi utuweke kwenye eneo la kipaumbele,” Alisema.

Mufti wa Tanzania atafanya ziara ya siku mbili katika Wilaya ya Sumbawanga pamoja na Nkasi, akizindua na kuweka mawe ya msingi katika misikiti pamoja na kituo cha afya kilichopo kata ya kirando, Wilayani Nkasi.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa