• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Mwenge wa Uhuru 2022

imewekwa Tar: September 20th, 2022

MIRADI YA SHILINGI BILIONI 4.7 KUTEMBELEWA NA MWENGE WA UHURU RUKWA

Na. OMM Rukwa

Mwenge wa Uhuru umeanza mbio zake kwa mkoa wa Rukwa ambapo jumla ya miradi Kumi na Miwili yenye thamani ya shilingi Bilioni 4.7 itawekewa mawe ya msingi, kukaguliwa na kuzinduliwa katika halmashauri nne za Sumbawanga Vijijini, Kalambo, Manispaa ya Sumbawanga na Nkasi.

Akizungumzia  hali ya maandalizi,  Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Queen Sendiga leo (19.09.2022)  katika kijiji cha Kilyamatundu wilaya ya Sumbawanga  ukitokea mkoa wa Songwe ambapo alisema wananchi wapo tayari kuupokea Mwenge wa Uhuru na kukimbizwa kwenye maeneo yao.

" Tupo tayari kukimbiza Mwenge wa Uhuru na kwamba tumejiandaa kwa kuwa na miradi iliyokidhi viwango na kuwa utakamilisha salama kazi yake " alisema Sendiga.

Kwa upande wake Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Sahili Geraruma amewasihi watendaji na watumishi wa serikali kuzingatia viwango vya ubora wanaposimamia miradi ya maendeleo.

Geraruma akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kipeta alipweka jiwe la msingi la Kituo cha  Afya kilichochengwa kwa fedha tozo ya miamala shilingi Milioni 500 alionya dhidi ya vitendo vya kutozingatiwa vigezo na ucheleweshwaji wa matumizi ya fedha.

"Mradi huu ni mzuri lakini kuna mapungufu kidogo. Kutozingatiwa kwa viwango vya ujenzi ikiwemo BOQ pamoja na kutopata kibali cha TAMISEMI kuhusu maboresho ya ramani yanatia shaka uzalendo wa wataalam wetu wa halmashauri "alisema Geraruma.

Aidha akiwa katika mradi wa shule ya sekondari Katuhura kata ya Laela, Kiongozi huyo wa mbio za Mwenge Kitaifa aliweka jiwe la msingi la mradi huo na kutoa rai kwa watendaji wa halmashauri hiyo kuongeza kasi ili ifikapo mwezi Octoba mwaka huu mradi huo ukamilike na kuanźa kutumika.

Serikali ilitoa fedha shilingi Milioni 470 kwa ajili ya ujenzi wa shule hiyo mpya ya sekondari Katuhura ambapo ujenzi umefikia asiĺimia 70.

Mwenge wa Uhuru leo umekamilisha mbio zake Halmashuri ya Wilaya ya Sumbawanga kwa kukagua , kuweka mawe ya msingi kwenye miradi minne na kuzungumza na wananchi .

Kesho Mwenge wa Uhuru utakimbizwa kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo.

Mwisho.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa