• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

MWENGE WA UHURU 2023 WARIDHISHWA NA MIRADI MANISPAA YA SUMBAWANGA

imewekwa Tar: August 31st, 2023


Mwenge wa Uhuru 2023 umezindua mradi 01, umekagua miradi 04 na kuweka mawe ya msingi miradi 02 yenye thamani ya shilingi Bilioni 1.9 Katika Manispaa ya Sumbawanga  Mkoni Rukwa.

Akiongea Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru  2023 Ndg Abdalla Shaib Kaim na hadhara ya wananchi wa Manispaa ya Sumbawanga katika Viwanja vya Shule ya Msingi Ndua ameipongeza Halmashauri ya Manispaa kwa kutekeleza miradi kwa viwango na ubora unaotakiwa na kusisitiza kuwa maelekezo yote yaliyotolewa yanafanyiwa kazi.

Ndg. Abdalla Shaib Kaim amesema Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga imejipanga na kuhakikisha kuwa huduma za Afya zinaboreshwa kwa kukamilisha wodi 03 za wanawake, wanaume na watoto na chumba cha kuhifadhia maiti ili wananchi waweze kupatiwa huduma sawa na malengo ya Serikali ya Awamu ya Sita.

Aidha Amemshukuru Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuleta fedha nyingi katika Manispaa ya Sumbawanga ambazo zimewezesha  utekelezaji wa baadhi  ya miradi ya  maendeleo  kama ujenzi wa Wodi 03 katika Hospitali ya Manispaa kiasi cha Shilingi Milioni 750, Ujenzi wa Shule Mpya ya Sokolo kiasi cha Shilingi Milioni  547, Ujenzi wa Barabara kwa kiwango cha Lami (Mtaa wa Kodova)Kiasi cha Shilingi Milioni 314 na mingine mingi katika manispaa ya Sumbawanga na Mkoa wa Rukwa kwa ujumla.

Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa amewataka wananchi kutelekeza kauli Mbiu ya Mwenge wa Uhuru 2023  isemayo “Tunza Mazingira, Okoa vyanzo vya Maji kwa Ustawi wa Viumba Haina Uchumi wa Taifa” kwa kitendo, kushiriki katika mapambano ya rushwa, kutokomeza ukatili wa kijinsia na unyanyapa, kuzingatia  kanuni za lishe bora ili kuimarisha lishe, kutokomeza maralia na kukakikisha tunaokoa kizazi chetu dhidi ya madawa ya kulevya kwa kukabiliana na changamoto  za madawa ya kulevya kwa wakati wote kwa ustawi wa jamii.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI- RUKWA September 27, 2023
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 13, 2023
  • HOTUBA YA BAJETI YA TAMISEMI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 May 05, 2023
  • Bei ya Mbolea za Rukuzu kwa Wakulima August 31, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MIRADI YA BILIONI 56.7 YAKAGULIWA KALAMBO

    September 25, 2023
  • WITO KWA WAZAZI KUHAKIKISHA WATOTO WANAPATIWA CHANJO

    September 21, 2023
  • WITO KWA WAZAZI KUHAKIKISHA WATOTO WANAPATIWA CHANJO

    September 21, 2023
  • WAAGIZWA KUKAMILISHA MAANDALIZI YA CHANJO POLIO

    September 15, 2023
  • Angalia Zote

Video

Serikali Kuimarisha mahusiano na Sekta Binafsi
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0735019734

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa