• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

MWENGE WA UHURU 2025 WAPOKELEWA MKOANI RUKWA; KUKIMBIZWA KWA SIKU NNE; KUMULIKA MIRADI YA BILIONI 55.3

imewekwa Tar: September 28th, 2025


Mwenge wa Uhuru Mwaka 2025 umepokelewa rasmi mkoani Rukwa, leo Septemba 28, 2025 katika Kijiji cha Kizi, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi.


Mwenge wa Uhuru utakimbizwa ndani ya Mkoa wa Rukwa kwa siku nne, ambapo unatarajiwa kukimbizwa katika Wilaya tatu za Nkasi, Kalambo na Sumbawanga zenye jumla ya Halmashauri nne.

Ukiwa mkoani Rukwa Mwenge wa Uhuru unatarajia kuzindua, kuweka mawe ya msingi na kufungua jumla ya miradi 34 katika sekta za maji, elimu, afya, barabara, maendeleo ya jamii pamoja na vilabu 8 vya ulinzi wa mazingira pamoja na mapambano dhidi ya rushwa, dawa za kulevya na malaria, huku thamani ya jumla ya miradi hiyo ikiwa shilingi bilioni 55.3.


Akizungumza wakati wa sherehe za kuupokea Mwenge wa Uhuru kutoka Mkoa wa Katavi, Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mheshimiwa Charles Makongoro Nyerere amesema kuwa katika kutekeleza miradi itakayokaguliwa na Mwenge wa Uhuru mkoani Rukwa 2025, Serikali Kuu imechangia asilimia 98.58 ya fedha zote, sawa na shilingi 54,592,082,337.74. Halmashauri za Mkoa wa Rukwa zimechangia asilimia 1.12, sawa na shilingi 619,074,000.33, huku wananchi wakichangia asilimia 0.27, sawa na shilingi 150,546,500.00. Ameeleza kuwa mchango wa wahisani na wadau mbalimbali wa maendeleo ni asilimia 0.03, sawa na shilingi 14,417,000.00.


Mheshimiwa Makongoro amewashukuru wananchi na wadau wa maendeleo kwa mshikamano. Amewataka kushiriki kikamilifu katika kuchagua viongozi katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 29, 2025

Naye Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ndg. Ismail Ali Ussi, ameeleza kuwa mbio za Mwenge wa Uhuru Mwaka 2025 zinalenga kuhamasisha uwajibikaji wa viongozi na wananchi, kukuza mshikamano wa kitaifa na kupambana na vitendo vya rushwa, sambamba na kuwawezesha vijana kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya taifa.


Mwenge wa Uhuru 2025, unatarajiwa kuanza mbio zake Wilaya ya Nkasi kabla ya kuendelea na mbio zake katika Halmashauri nyingine za Mkoa wa Rukwa.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE( CSEE) 2025 January 31, 2026
  • MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI 2025 January 10, 2026
  • MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE 2025 January 10, 2026
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO SUMBAWANGA; ASISITIZA UMUHIMU WA HATI MILIKI ZA MAENEO YA TAASISI

    January 29, 2026
  • UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO; RC MAKONGORO AHIMIZA UBORA NA KUZINGATIWA KWA MUDA WA UTEKELEZAJI NKASI DC

    January 28, 2026
  • KUMBUKIZI YA KUZALIWA RAIS SAMIA; RC MAKONGORO AMUUNGA MKONO KWA KUONGOZA WANANCHI RUKWA KUPANDA MITI 4565

    January 27, 2026
  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa