• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Mwenge wa Uhuru Kung’arisha miradi ya Shilingi Bilioni 45.4 Rukwa.

imewekwa Tar: April 7th, 2019

Mwenge wa Uhuru wa Mwaka 2019 utakaokimbizwa katika wilaya tatu na Halmashauri Nne za Mkoa wa Rukwa unategemewa kuweka Mawe ya Msingi, kukagua na kuzindua miradi 35 ya maendeleo pamoja na vikundi 11 vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu ambapo miradi hiyo ina thamani ya Shilingi Bilioni 45,404,104,489.59.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo baada ya kukabidhiwa mwenge wa Uhuru na Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brigedia. Jenerali. Mstaafu Nicodemus Mwangela mara tu baada ya kuvuka daraja la mto Momba mbao ndio mpaka wa Mkoa wa Rukwa na Songwe katika Kijiji cha Kilyamatundu, Wilayani Sumbawanga.

Mkuu wa Mkoa amesema kuwa Mwenge wa uhuru ukiwa katika Mkoa wa Rukwa utakimbizwa umbali wa jumla ya Kilomita 832.5 kuanzia tarehe 7 hadi 11, April, 2019 nahatimae kuwakabisdi majirani Mkoa wa Katavi, ambao utakuwa mkoa wa tatu tangu kuwashwa kwake katika mkoa wa Songwe mapema mwezi huu.

Wakati akifafanua michanganuo ya uchangiaji wa miradi hiyo Mh. Wangangabo alisema “Wananchi Shilingi 244,524,500.00 sawa na asilimia 0.5 ya gharama zote.Halmashauri Shilingi 619,611,106.00 sawa na asilimia 1.4, Serikali Kuu Shilingi 16,426,480,402.00 sawa na asilimia 36.2, Wadau wa maendeleo Shilingi 759,489,800 sawa na asilimia 1.7 Aidha, kuna mradi wa uchimbaji makaa ya mawe ambao unathamani ya Shilingi 27,353,998,681.59 mradi huu utakaguliwa, ambao una wastani wa asilimia 60.2 ya gharama zote.”

Kwa upande wake Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2019 aliupongeza uongozi wa mkoa wa Rukwa kwa mapokezi mazuri aliyoyapata na kuwaahidi kutowaangusha wananchi katika ukaguzi wake wa miradi ambayo Mwenge wa Uhuru utaipitia.

Kauli mbiu ya Mbio za Mwenge wa Uhuru 2019 ni “Maji ni haki ya kila Mtu, tutunze vyanzo vyake na tukumbuke kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa”

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa