• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Naibu Waziri Aweso azitaka Mamlaka za maji nchini kuunganisha maji ndani ya siku saba

imewekwa Tar: August 8th, 2020

Naibu Waziri wa Maji Mh. Jumaa Aweso amewaagiza Wakurugenzi wa Mamlaka za maji nchini kuhakikisha wananchi ambao wamekamilisha taratibu za kulipia uunganishaji wa maji wanapatiwa huduma hiyo ndani ya siku saba, kwani hiyo ni haki ya mwananchi na ni wajibu wa serikali kuhakikisha mwananchi anapata maji hayo.

“Si jambo la busara hata kidogo mwananchi amefuata taratibu za kulipia uuunganishwaji wa maji anatumia miezi mitatu, miezi minne, dana dana zimekuwa lukuki haiwezekani, tunataka ndani ya siku saba, na ieleweke mtu ameshindwa atupishe, tuweke watu ambao wanaweza wakaifanya hiyo kazi, kwahiyo nawaomba wananchi wa Tanzania muelewe na mfahamu kwamba utakapokuwa umekamilisha taratibu za kulipia maunganisho wa maji basi ndani ya siku saba Mamlaka iweze kuhakikisha kwamba mwananchi huyu anapata huduma ya maji,” Alimalizia.

Ameyasema hayo baada ya kupokea taarifa ya hali ya upatikanaji wa maji mkoani Rukwa kabla ya kuanza ziara yake ya siku mbili katika mkoa ili kukagua na kutembelea miradi ya maji inayoendelea kutekelezwa ndani ya Mkoa.

Wakati akitoa taarifa ya hali ya upatikanaji wa maji Mkoani Rukwa Kaimu Meneja wa Wakala wa maji vijiji Mhandisi Boaz Matundali alisema kuwa katika mwaka wa fedha 2020/2021 Mkoa wa Rukwa umepanga kutekeleza jumla ya miradi 30 ambapo kati ya hiyo miradi 14 ni mipya na 16 ni ya ukarabati na upanuzi na kuongeza kuwa kiasi kilichotengwa kwaajili ya utekelezaji wa miradi hiyo ni Shililingi 10, 102,639,591/=.

Wakati serikali ya Awamu ya Tano inaingia madarakani mwaka 2015 upatikanaji wa maji safi na salama Mkoani Rukwa ulikuwa asilimia 40.4 na kufikia mwezi Juni, 2020, asilimia 63 ya wakazi vijijini pamoja na asilimia 80 ya wakazi wa mjini wanapata maji safi na salama huku serikali ikiwa imewekeza kiasi cha Shilingi Bilioni 46.5.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa