• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo kuhamia kwenye vibanda

imewekwa Tar: June 9th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Kalambo Mh. Julieth Binyura amemkaribisha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo katika ofisi yake mpya anayotarajia kuhamia mwishoni mwa mwezi wa sita mwaka 2019 huku ikiwa zimebaki asilimia 10 kumalizika kwa jengo hilo tofauti na ofisi ya mpya ya Mkurugenzi ambayo bado ipo katika hatua za awali za ujenzi.

Mh. Binyura aliwashukuru wakandarasi Suma JKT pamoja na mshauri wake wakala wa majengo Nchini (TBA) kwa kuweza kuifikisha ofisi hiyo katika hatua za mwisho kuongeza kuwa pamoja na yeye kuhamia pia anaweza kushirikiana na mkurugenzi kukaa pamoja ikiwemo kumuazima mabanda yanayozunguka ofisi hiyo ili aweze kuyatumia wakati wakisubiri kukamilisha ofisi yao.

“Ni kweli jengo hili ni kubwa sana na ofisi hii itatosha kwa ofisi yangu pia na Mkurugenzi ataingia na pia kuna mabanda mengi tu yapo hatutayabomoa mapema ili waweze kuingia lakini vile vifaa ambavyo ni vya kutumia mifumo wataingia kwenye jengo langu, kwahiyo nawakaribisha sana na wajenzi wajitahidi ili tarehe 30 niweze kuingia kwenye jengo hili,” alisema.

Kauli hiyo imekuja baada ya mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo kumtaka Mkurugenzi wa halmashauri hiyo kuhama katika madarasa ya shule ya Sekondari ya wasichana Matai ambayo wanayatumia kama ofisi zao.

Mh. Wangabo alisema,” Mh. DC nimesema hawa halmashauri ofisi zao zitahamia kwako kwa muda utakapokuwa umehamia pale na pale uwape muda wa kukaa ili uwasukume watoke pale, kama hawatasimamia huu ujenzi hapa wake kule kwenye vibanda vya kuku kule,wakae kweny vibanda vya mabati ili waone uchungu wa kusimamia hapa mahali.

Mh. Wangabo aliyasema hayo alipotembelea ujenzi wa ofisi ya mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Ofiri ya Mkurungenzi wa halmashauri pamoja na ujenzi wa bwalo na mabweni katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Matai.

Katika hatua nyingine Mh. Wangabo amemuagiza Mkurugenzi wa halmashauri ya Kalambo kuhakikisha hadi kufikia mwezi Julai mwaka 2019 shule hiyo iwe imesajiliwa na kuanza kupokea wanafunzi kutoka katika maeneo mbalimbali ya nchi.

Tangu kuanzishwa kwa halmashauri hiyo mwaka 2012 Mkurugenzi amekuwa akitumia madarasa ya shule ya sekondari ya wasichana ya Matai kama ofisi za halmashauri.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa