• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

PPRA YAANZA MAFUNZO KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA

imewekwa Tar: December 25th, 2025

Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI, Wizara ya Maendeleo ya Jamii na Taasisi ya WAJIBU imeanza mafunzo maalum kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii na Maafisa Ununuzi ili kuwawezesha kuibua na kusajili Makundi Maalum kwenye mfumo wa ununuzi wa umma (NeST).

Mafunzo hayo yameshirikisha Maafisa Maendeleo ya Jamii wa Mkoa wa Rukwa, wawezeshaji kutoka PPRA na TAasisi husika, Maafisa Ununuzi wa Halmashauri, Maafisa wa Wilaya na Kata pamoja na waandishi wa habari.

Akifungua mafunzo, Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Rukwa, Ndg. Marwa Wankyo, amesema Serikali inalenga kuhakikisha wafanyabiashara wadogo na wajasiriamali wananufaika na fursa za Sheria Mpya ya Ununuzi wa Umma ya 2023, inayozitaka Taasisi nunuzi kutenga asilimia 30 ya mpango wa ununuzi kwa Makundi Maalum. Amesisitiza watendaji kutumia mafunzo hayo kuwafikia walengwa, kuwaelimisha juu ya uundaji na usajili wa makundi kupitia mfumo wa PPRA, na kuongeza idadi ya makundi yatakayoshiriki kwenye zabuni za Serikali. 

Mafunzo haya yameelezwa kuwa muhimu katika kuongeza uwezo wa Makundi Maalum kushindana na kupata tenda, hivyo kuinua kipato na kukuza uchumi wa wananchi. Baadhi ya Maafisa Maendeleo ya Jamii wameishukuru Serikali na PPRA wakisema mafunzo yamewaongezea uelewa na kuwasaidia kutatua changamoto walizokuwa wakikumbana nazo. Wamewahimiza wanawake, vijana, watu wenye ulemavu na wajasiriamali wadogo kujitokeza kusajili makundi yao na kunufaika na fursa za zabuni za Serikali

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE( CSEE) 2025 January 31, 2026
  • MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI 2025 January 10, 2026
  • MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE 2025 January 10, 2026
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO SUMBAWANGA; ASISITIZA UMUHIMU WA HATI MILIKI ZA MAENEO YA TAASISI

    January 29, 2026
  • UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO; RC MAKONGORO AHIMIZA UBORA NA KUZINGATIWA KWA MUDA WA UTEKELEZAJI NKASI DC

    January 28, 2026
  • KUMBUKIZI YA KUZALIWA RAIS SAMIA; RC MAKONGORO AMUUNGA MKONO KWA KUONGOZA WANANCHI RUKWA KUPANDA MITI 4565

    January 27, 2026
  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa