• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

PS3+ Wakutanisha Wadau

imewekwa Tar: December 6th, 2022

 

SERIKALI KUIMARISHA MAHUSIANO NA SEKTA BINAFSI  RUKWA

Na. OMM Rukwa

Serikali imesema itaendelea kuhakikisha mahusiano kati ya sekta ya umma na binafsi yanaimarika ili kukuza uzalishaji ajira na uchumi  kupitia fursa mbalimbali.

Hayo yamebainishwa na Katibu Tawala Mkoa wa Rukwa Rashid Mchatta leo (Desemba 06,2022) wakati akifungua kikao cha majadiliano kati ya sekta ya umma na binafsi Manispaa ya Sumbawanga .

Mchatta alisema ukuaji uchumi unaongozwa na sekta binafsi katika kuzalisha ajira na fursa za kiuchumi endelevu hususan kwa vijana na kuwezesha serikali kupata mapato kupitia kodi na ushuru wa bidhaa .

“Serikali inaweka mazingira wezeshi kwa sekta ya binafsi katika ukuaji wa biashara kubwa ,ndogo na makampuni.  Kikao cha hiki kinalenga kujadili fursa,mafanikio na changamoto zinazoikumba sekta binafsi” alisema Mchatta.

Kwa upande wake Mshauri wa Sekta Binafsi toka Mradi wa Uimarishaji Mifumo ya Sekta za Umma Awamu ya Pili (PS3) Moses Kabogo iliyoratibu kikao hicho alisema lengo ni kujenga mahusiano mazuri kati ya sekta ya umma na binafsi.

Kabogo aliongeza kusema mradi huo unajikita katika kuhakikisha jamii iliyoko pembezoni inafikiwa kiurahisi kupitia sekta bianfsi ambapo changamoto zinatatuliwa kupitia majadiliano.

Naye Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Mkoa wa Rukwa Willington Kiziba alitoa wito kwa serikali kutaza upya mifumo yake utoaji bima ya afya ili kuwezesha makundi yote kwenye jamii kufikiwa na huduma kwa gharama nafuu.

Mwisho.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa