• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RAS Rukwa asisitiza kutolewa elimu sahihi ya Ushirika kwa wananchi

imewekwa Tar: September 10th, 2017

Katibu Tawala wa Mkoa wa Rukwa, Benard Makali amewasisitiza wanakamati ya elimu na maendeleo ya ushirika ya  mkoa kuhakikisha kuwa wanatekeleza majukumu yao ya kufikisha elimu ya ushirika kwa wananchi ili iwanufaishe katika maisha yao ya kila siku.

Ameyasema hayo alipokuwa akiziindua kamati hiyo yenye wajumbe 10 kutoka katika halmashauri za Mkoa na sekta binafsi ili kuimarisha utendaji kazi na kuhakikisha kuwa leimu hiyo inasambazwa katika ngazi zote.

“Hii ndiyo kamati ambayo itafufua ushirika, watu wakishaelewa maana ya ushirika watajiunga kuanzia maofisini hadi mitaani kuna watu ambao wngependa kujiunga lakini hawana elimu ya kustosha juu ya dhana ya ushirika,” Makali alisema.

Amewataka kuwa makini na vyama vinavyomea na hatimae kuwa na idadi kubwa bila ya kufanya kazi, hali inayoonyesha mpaka sasa mkoa una idadi ya vyama 166 na vinavyofanya kazi ni vichache na kuongeza kuwa vyama vinavyoendeshwa kwa ufanisi ndio vinavyohitajika na sio wingi wake.

Awali alipokuwa akisoma risala kwa mgeni rasmi, afisa wa ushirika wa Mkoa, Wallace Kiama alitaja baadhi changamoto zinazowakabili ikiwamo vitendea kazi pamoja na upungufu wa watumishi hasa katika ngazi ya halashauri jambo ambalo linawafanya kushindwa kufanya kazi zao kwa ufanisi.

Katika kulijibu hilo katibu tawala wa Mkoa amesema kuwa anazitambua changamoto hizo na kuahidi kuzishughulikia kwani baadhi ya changamoto hizo zipo ndani ya uwezo wake na kuwataka ili elimu hiyo iwafikie wananchi kwa haraka waandae mada hiyo ambayo atawahitaji kuiwasilisha katika vikao vya maendeleo vya mkoa.

Zaidi ya hayo aliitaka kamati hiyo kuhakikisha kuwa vyama vyote vinaendeshwa  kwa kufuata sheria na kanuni za vyama vya Ushirika kwa ajili ya ufanisi.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KIDATO CHA PILI 2025 November 05, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • BODI YA USHAURI YA HOSPITALI YA RUFAA SUMBAWANGA YAZINDULIWA, YAAGIZWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA MENEJIMENTI KUBORESHA HUDUMA.

    November 28, 2025
  • PPRA YAANZA MAFUNZO KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA

    December 25, 2025
  • RC MAKONGORO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA AMANI RUKWA , ASISITIZA UOMJA NA KULINDA AMANI KWA MAENDELEO YA MKOA

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa