• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RAS Rukwa asisitiza kutolewa elimu sahihi ya Ushirika kwa wananchi

imewekwa Tar: September 10th, 2017

Katibu Tawala wa Mkoa wa Rukwa, Benard Makali amewasisitiza wanakamati ya elimu na maendeleo ya ushirika ya  mkoa kuhakikisha kuwa wanatekeleza majukumu yao ya kufikisha elimu ya ushirika kwa wananchi ili iwanufaishe katika maisha yao ya kila siku.

Ameyasema hayo alipokuwa akiziindua kamati hiyo yenye wajumbe 10 kutoka katika halmashauri za Mkoa na sekta binafsi ili kuimarisha utendaji kazi na kuhakikisha kuwa leimu hiyo inasambazwa katika ngazi zote.

“Hii ndiyo kamati ambayo itafufua ushirika, watu wakishaelewa maana ya ushirika watajiunga kuanzia maofisini hadi mitaani kuna watu ambao wngependa kujiunga lakini hawana elimu ya kustosha juu ya dhana ya ushirika,” Makali alisema.

Amewataka kuwa makini na vyama vinavyomea na hatimae kuwa na idadi kubwa bila ya kufanya kazi, hali inayoonyesha mpaka sasa mkoa una idadi ya vyama 166 na vinavyofanya kazi ni vichache na kuongeza kuwa vyama vinavyoendeshwa kwa ufanisi ndio vinavyohitajika na sio wingi wake.

Awali alipokuwa akisoma risala kwa mgeni rasmi, afisa wa ushirika wa Mkoa, Wallace Kiama alitaja baadhi changamoto zinazowakabili ikiwamo vitendea kazi pamoja na upungufu wa watumishi hasa katika ngazi ya halashauri jambo ambalo linawafanya kushindwa kufanya kazi zao kwa ufanisi.

Katika kulijibu hilo katibu tawala wa Mkoa amesema kuwa anazitambua changamoto hizo na kuahidi kuzishughulikia kwani baadhi ya changamoto hizo zipo ndani ya uwezo wake na kuwataka ili elimu hiyo iwafikie wananchi kwa haraka waandae mada hiyo ambayo atawahitaji kuiwasilisha katika vikao vya maendeleo vya mkoa.

Zaidi ya hayo aliitaka kamati hiyo kuhakikisha kuwa vyama vyote vinaendeshwa  kwa kufuata sheria na kanuni za vyama vya Ushirika kwa ajili ya ufanisi.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADAKTARI BINGWA 33 WAPOKELEWA RUKWA, HUDUMA ZA KIBINGWA KUTOLEWA HOSPITALI ZA WILAYA KWA SIKU TANO

    May 19, 2025
  • RUKWA YAANZA RASMI MATUMIZI YA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI KWA ZAO LA MBAAZI NA UFUTA

    May 13, 2025
  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa