• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC MAKONGORO AINADI RUKWA KWA WAWEKEZAJI

imewekwa Tar: August 19th, 2024



Mheshimiwa Charles Makongoro Nyerere Mkuu wa Mkoa wa Rukwa amewakaribisha wawekezaji wa Sekta mbalimbali kwa ajili ya kuwekeza kibiashara Mkoani Rukwa.


Mheshimiwa Makongoro ameeleza kuwa Mkoa wa Rukwa una mazingira mazuri kwa ajili ya uwekezaji wa viwanda vya kuchakata mazao ya kilimo na hata uwekezaji wa kiwanda cha Sukari.


Akizungumza mbele ya timu ya maafisa kutoka Kituo cha Uwekezaji cha Taifa (TIC) leo Agosti 19, 2024 Ofisini kwake, Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa ameeleza kuwa Rukwa ina ardhi yenye rutuba ya kutosha kwa kilimo cha miwa na kwamba wananchi wanalima miwa kwa matumizi ya kawaida.


Mheshimiwa Makongoro amewaeleza maafisa hao ambao wako katika kampeni ya uhamasishaji wa uwekezaji Mkoani Rukwa kwa siku mbili kuanzia Agosti 19 hadi 20, 2024 kuwa pamoja na fursa ya kilimo iko pia fursa ya uwekezaji katika biashara ya usafirishaji kwa njia ya barabara na usafirishaji wa majini katika Ziwa Tanganyika na pia biashara katika sekta ya utalii.


Aidha Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa amewahamasisha wananchi wa Mkoa wa Rukwa kuwekeza katika fursa mbalimbali zilizopo Mkoa wa Rukwa huku akiwataka wawekezaji Mkoani Rukwa kujisajili katika Kituo cha Uwekezaji ili kulindwa na Sheria za Uwekezaji, kupata mikopo inayotengwa kwa ajili ya wawekezaji kwa nyakati tofauti.


Naye Meneja Uhamasishaji wa Kituo cha Uwekezaji wa ndani ameeleza kuwa lengo la Kituo cha Uwekezaji ni kuwawezesha wawekezaji wa ndani na kulinda maslahi na haki za wawekezaji kupitia Sera, Kanuni na Sheria zilizopo. Ametoa wito kwa wananchi wa Rukwa kusajili miradi yao ya uwekezaji.


Timu ya maafisa hao imetembelea miradi ya uwekezaji Mkoani Rukwa ikiwemo kiwanda cha kutengeneza maji cha Dew Drop na Kiwanda cha kuchakata mazao ya samaki cha Alfa.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RUKWA YAANZA RASMI MATUMIZI YA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI KWA ZAO LA MBAAZI NA UFUTA

    May 13, 2025
  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa