• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

imewekwa Tar: May 5th, 2025


Na Khadija Dalasia

Rukwa. 5 Mei, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Mheshimiwa Charles Makongoro Nyerere ameanza ziara  ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo Mkoani hapa.


Katika siku yake ya kwanza Manispaa ya Sumbawanga leo Mei 5, 2025, Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa ameshuhudia  mafundi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wakiwasha umeme katika Kijiji cha Isesa kilichoko Manispaa ya Sumbawanga baada ya kukamilisha ujenzi wa njia ya usambazaji wa umeme katika Kijiji hicho.


Akizungumza na wananchi katika Kijiji hicho Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa ameeleza kufurahishwa kwake na namna miradi ya umeme inavyotekelezwa Mkoani hapa huku akieleza kuwa zaidi ya asilimia 68 ya vijiji 1816 Mkoani hapa vimekwishaunganishwa na nishati ya umeme inayosambazwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA)


Mheshimiwa Makongoro amekagua pia mradi wa ujenzi wa kituo cha kupoozea umeme katika mradi wa kuunganisha umeme wa Tanzania na Zambia (TAZA) na mradi wa kuunganisha umeme katika mradi wa ujenzi wa Soko la Mazao la kimataifa la Sumbawanga na kuitaja kama mifano ya miradi inayotekelezwa kwa kasi nzuri na kwa ubora na Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (TANESCO)


Ongezeko la watumiaji wa umeme katika vijiji vya Mkoa wa Rukwa linatajwa kuwa miongoni mwa mafanikio yanayochochea  kuongezeka kwa biashara zinazohitaji nishati ya umeme na hivyo kuchangia moja kwa moja katika ukuaji wa uchumi wa Mkoa wa Rukwa.


Pamoja na miradi hiyo ya umeme, ziara ya Mkuu wa Mkoa imeangazia pia mradi ya ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Sumbawanga.  


Ziara ya Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa inatarajia kuendelea tena kesho Mei 6, 2025 katika Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADAKTARI BINGWA 33 WAPOKELEWA RUKWA, HUDUMA ZA KIBINGWA KUTOLEWA HOSPITALI ZA WILAYA KWA SIKU TANO

    May 19, 2025
  • RUKWA YAANZA RASMI MATUMIZI YA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI KWA ZAO LA MBAAZI NA UFUTA

    May 13, 2025
  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa