• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC MAKONGORO, ASHUHUDIA UTIAJI SAINI MIKATABA 33 YA BARABARA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 7

imewekwa Tar: August 12th, 2024

RC MAKONGORO, ASHUHUDIA UTIAJI SAINI MIKATABA 33 YA BARABARA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 7

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Mheshimiwa Charles Makongoro Nyerere ameshuhudia utiaji saini wa mikataba 33 ya matengenezo ya barabara kwa Mwaka 2024/2025 yenye thamani ya shilingi bilioni 7.7.
Hafla hiyo ya utiaji saini wa mikataba kati ya TARURA na Wakandarasi imefanyika leo Agosti 12, 2024 katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa.
Akizungumza katika hafla hiyo Mheshimiwa Makongoro amegusia juu ya uharibifu mkubwa wa miundombinu uliofanywa na mvua za msimu uliopita na kuwataka wananchi kutoharibu mazingira ili kupunguza athari za mabadiliko ya tabia nchi.

Aidha Mkuu wa Mkoa ameishukuru Serikali kwa ongezeko la bajeti ya barabara kwa Mkoa wa Rukwa kutoka Shilingi bilioni 5.19 Mwaka 2020/2021 hadi Shilingi bilioni 11.84 Mwaka 2024/2025 na kuitaka TARURA kusimamia kwa ukaribu kazi zote ili zikamilike kwa wakati na ubora huku akitaka Wakuu wa Wilaya na TAKUKURU kupatiwa nakala za Mikataba hiyo ili kusaidia usimamizi.

Katika hatua nyingine, Mheshimiwa Makongoro ameshauri kufanyika hafla za kusaini mikataba ili kuweka mazingira ya uwazi na uwajibikaji.


Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Mheshimiwa Charles Makongoro Nyerere ameshuhudia utiaji saini wa mikataba 33 ya matengenezo ya barabara kwa Mwaka 2024/2025 yenye thamani ya shilingi bilioni 7.7.


Hafla hiyo ya utiaji saini wa mikataba kati ya TARURA na Wakandarasi imefanyika leo Agosti 12, 2024 katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa.


Akizungumza katika hafla hiyo Mheshimiwa Makongoro amegusia juu ya uharibifu mkubwa wa miundombinu uliofanywa na mvua za msimu uliopita na kuwataka wananchi kutoharibu mazingira ili kupunguza athari za mabadiliko ya tabia nchi.


Aidha Mkuu wa Mkoa ameishukuru Serikali kwa ongezeko la bajeti ya barabara kwa Mkoa wa Rukwa kutoka Shilingi bilioni 5.19 Mwaka 2020/2021 hadi Shilingi bilioni 11.84 Mwaka 2024/2025 na kuitaka TARURA kusimamia kwa ukaribu kazi zote ili zikamilike kwa wakati na ubora huku akitaka Wakuu wa Wilaya na TAKUKURU kupatiwa nakala za Mikataba hiyo ili kusaidia usimamizi.


Katika hatua nyingine, Mheshimiwa Makongoro ameshauri kufanyika hafla za kusaini mikataba ili kuweka mazingira ya uwazi na uwajibikaji.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI 2025 January 10, 2026
  • MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE 2025 January 10, 2026
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • BODI YA USHAURI YA HOSPITALI YA RUFAA SUMBAWANGA YAZINDULIWA, YAAGIZWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA MENEJIMENTI KUBORESHA HUDUMA.

    November 28, 2025
  • PPRA YAANZA MAFUNZO KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA

    December 25, 2025
  • RC MAKONGORO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA AMANI RUKWA , ASISITIZA UOMJA NA KULINDA AMANI KWA MAENDELEO YA MKOA

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa