• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC MAKONGORO AWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM, JULAI 2023 - JUNI 2024

imewekwa Tar: August 13th, 2024

Na Khadija Dalasia.


Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Mheshimiwa Charles Makongoro Nyerere, ametoa taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi Mkoani Rukwa kuanzia Julai 2023 hadi Juni 2024.

Akizungumza katika kikao cha Kamati ya Siasa ya Mkoa, Mheshimiwa Makongoro ameeleza kuwa Mkoa umevuka lengo la ukusanyaji wa mapato kwa shilingi bilioni 17.8.

Mheshimiwa Makongoro amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa maendeleo makubwa ya Mkoa wa Rukwa huku  akiwapongeza wananchi na viongozi wa Chama cha Mapinduzi na Serikali kwa ushirikiano walioutoa wakati wa ziara ya Mheshimiwa Rais Mkoani hapa Julai 2024.

Akizungumzia hali ya usalama wa Mkoa, Mheshimiwa Makongoro ameeleza kuwa hali ya usalama imeimarika na kuongeza kuwa ulinzi katika maeneo yote umeimarishwa akigusia hali ya Ziwa Tanganyika, ambako ulinzi umeimarishwa kudhibiti utekaji wavuvi.

Aidha Mheshimiwa Makongoro amezungumzia mafanikio ya sekta ya elimu yanayotokana na uwekezaji wa zaidi ya shilingi bilioni 8.2 katika ujenzi na umaliziaji wa miundombinu ya shule na ujenzi wa majengo ya Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya, Kampasi ya Rukwa. 

Kuhusu Sekta ya Afya Mheshimiwa Makongoro ameeleza kuwa uwekezaji wa kiasi cha shilingi Bilioni 2.3 umefanyika katika ujenzi wa miundombinu Mkoani hapa.

Maeneo mengine yaliyoguswa katika taarifa hiyo ya Mheshimiwa Makongoro ni pamoja na Sekta ya Miundombinu ambayo imepokea Shilingi Bilioni 60 kwa ajili ya kiwanja cha Ndege, Bilioni 82.2 kwa ajili ya barabara za TANROADS, na Bilioni 8.5 za barabara za TARURA , Bilioni 20.3 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu kupitia miradi ya TACTICS na Bilioni 16.6 kwa Sekta ya maji.

Akipokea Taarifa hiyo Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Rukwa Hajjat Silafu Jumbe Maufi ametoa pongezi kwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa na wataalamu wote kwa namna wanavyoshirikiana katika utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi 2020-2025 na kusisitiza Halmashauri zote ziweke mipango inayoendana na mahitaji ya wananchi na kutatua changamoto zao  ili kukamilisha utekelezaji wa Ilani ifikapo 2025.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KIDATO CHA PILI 2025 November 05, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • BODI YA USHAURI YA HOSPITALI YA RUFAA SUMBAWANGA YAZINDULIWA, YAAGIZWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA MENEJIMENTI KUBORESHA HUDUMA.

    November 28, 2025
  • PPRA YAANZA MAFUNZO KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA

    December 25, 2025
  • RC MAKONGORO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA AMANI RUKWA , ASISITIZA UOMJA NA KULINDA AMANI KWA MAENDELEO YA MKOA

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa