• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Rukwa aagiza wafanyabiashara kufunga maduka kufanya Usafi “Magufuli Day”

imewekwa Tar: August 26th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Kamishna Mstaafu Zelote Stephen amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga kuhakikisha wafanyabiashara hawafungui biashara zao bila ya kufanya usafi katika maeneo wanayofanyia biashara.

Agizo hilo lilitolewa baada ya Mkh. Zelote kufika katika soko kuu la mji wa Sumbawanga na kutokuta hata mfanyabiashara mmoja wa soko hilo akifanya usafi na huku uchafu katika eneo hilo ukiwa umekithiri katika siku hiyo ya usafi wa jumamosi ya mwisho wa mwezi maarufu kama Magufuli day.

Aidha Mh. Zelote alikuta askari wa usalama wa raia wakiendelea na usafi wa soko hilo na maeneo yanayozunguka soko hilo na kutokuwa na hata afisa mtendaji wa mtaa aliyekuwa akisimamia ama kuhamasisha usafi katika maeneo hayo hali iliyomfanya kuagiza waitwe uongozi wa mtaa na Mkurugenzi ili kuwaonya.

“Siku hii imetungiwa sharia kabisa ili watanzania wote washiriki kwenye usafi, badala yake mnalala mnategemea jeshi ndio linawafanyie kazi, kwani jeshi wameajiriwa kwasababu hiyo, wanakazi nyingi za kufanya, kama Mkurugenzi wa Manispaa ni jukumu lako kuhakikisha Manispaa inakuwa safi, kwani imekuwa nafasi ya 17 si kwasababu ya msukumo tunaoufanya bila ya hivyo ingekuwaje,” Alisema.

Amesisitiza kuwa usafi ni kila siku na jumamosi ya mwisho wa mwezi imewekwa kama ukumbusho wa kuendelea na usafi Katika maeneo yote yam ji, majumbani na kwenye maeneo ya biashara.

Katika zoezi hilo Mh. Zelote alishiriki kufanya usafi na kukagua Soko kuu la Manispaa lililopo kata ya Mazwi pamoja na Soko la Sabasaba linalomilikiwa na Chama tawala cha CCM pamoja na kusikiliza kero kadhaa za wafanyabiashara wadogo wadogo wa soko la Sabasaba.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI 2025 January 10, 2026
  • MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE 2025 January 10, 2026
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • BODI YA USHAURI YA HOSPITALI YA RUFAA SUMBAWANGA YAZINDULIWA, YAAGIZWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA MENEJIMENTI KUBORESHA HUDUMA.

    November 28, 2025
  • PPRA YAANZA MAFUNZO KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA

    December 25, 2025
  • RC MAKONGORO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA AMANI RUKWA , ASISITIZA UOMJA NA KULINDA AMANI KWA MAENDELEO YA MKOA

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa