• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Rukwa aagiza wafanyabiashara kufunga maduka kufanya Usafi “Magufuli Day”

imewekwa Tar: August 26th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Kamishna Mstaafu Zelote Stephen amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga kuhakikisha wafanyabiashara hawafungui biashara zao bila ya kufanya usafi katika maeneo wanayofanyia biashara.

Agizo hilo lilitolewa baada ya Mkh. Zelote kufika katika soko kuu la mji wa Sumbawanga na kutokuta hata mfanyabiashara mmoja wa soko hilo akifanya usafi na huku uchafu katika eneo hilo ukiwa umekithiri katika siku hiyo ya usafi wa jumamosi ya mwisho wa mwezi maarufu kama Magufuli day.

Aidha Mh. Zelote alikuta askari wa usalama wa raia wakiendelea na usafi wa soko hilo na maeneo yanayozunguka soko hilo na kutokuwa na hata afisa mtendaji wa mtaa aliyekuwa akisimamia ama kuhamasisha usafi katika maeneo hayo hali iliyomfanya kuagiza waitwe uongozi wa mtaa na Mkurugenzi ili kuwaonya.

“Siku hii imetungiwa sharia kabisa ili watanzania wote washiriki kwenye usafi, badala yake mnalala mnategemea jeshi ndio linawafanyie kazi, kwani jeshi wameajiriwa kwasababu hiyo, wanakazi nyingi za kufanya, kama Mkurugenzi wa Manispaa ni jukumu lako kuhakikisha Manispaa inakuwa safi, kwani imekuwa nafasi ya 17 si kwasababu ya msukumo tunaoufanya bila ya hivyo ingekuwaje,” Alisema.

Amesisitiza kuwa usafi ni kila siku na jumamosi ya mwisho wa mwezi imewekwa kama ukumbusho wa kuendelea na usafi Katika maeneo yote yam ji, majumbani na kwenye maeneo ya biashara.

Katika zoezi hilo Mh. Zelote alishiriki kufanya usafi na kukagua Soko kuu la Manispaa lililopo kata ya Mazwi pamoja na Soko la Sabasaba linalomilikiwa na Chama tawala cha CCM pamoja na kusikiliza kero kadhaa za wafanyabiashara wadogo wadogo wa soko la Sabasaba.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa