• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Rukwa aamuru Manesi wapewe fedha zao kujishonea sare.

imewekwa Tar: May 13th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Kamishna Mstaafu Zelote Stephen amemuamuru Mganha Mkuu wa Hospitali ya Mkoa kutoa pesa kwa wauguzi ili wajishonee wenyewe sare hizo kuliko kuwapa vitambaa peke yake.

Aliamuru hayo siku ya wauguzi duniani inayoadhimishwa kila tarehe 12 Mei ya kila mwaka ambapo Kimkoa ilifanyika katika viwanja vya hospitali ya Dokta Atman iliyopo kata ya majengo, Wilayani Sumbawanga.

“Jamani mengine sawa, lakini hata hili la sare lazima tuje kupiga kelele hapa, kuanzia leo wauguzi wapewe sare zao, si kwakwenda kuwakatia kitambaa, wapeni pesa zao, maana mkiwapa kitambaa mashono je?” Mkuu wa Mkoa aliamuru.

Vile vile Mh. Zelote alizisisitiza halmashauri kununua dawa na vifaa tiba ili wauguzi waweze kutoa huduma zao wakiwa huru ili kuepuka migogoro inayoweza kutokea kati yao na wagonjwa.

Mkuu wa Mkoa alisema, “Natoa agizo Wakurugeni wote wa Halmashauri wahakikishe pesa wanazoletewa na Serikali kwenye mfuko wa pamoja wa afya (Basket Fund) hazitumiki kwa kazi nyingine yoyote zaidi ya kununua dawa na vifaa tiba.”

Pia aliwatahadharisha na kuwaambia kuwa ataimarisha utaratibu wa kupata taarifa za kila siku ili kufuatilia wapi dawa hakuna na sababu za kutokuwepo kwa dawa hizo taarifa ambazo lazima zimfikie kila asubuhi.

Zaidi ya hayo aliendelea kuwasisitiza wakurugenzi kuhakikisha wanasimamia wananchi kujiunga na mfumo wa Bima ya Afya ya Jamii (CHF) na kusimamia makusanyo ya papo kwa papo kwa kutumia mashine za kielektroniki na kupelekwa benki.

 

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa