• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Rukwa ashauri taasisi za kidini kuwekeza kwenye viwanda

imewekwa Tar: October 22nd, 2017

Mkuu wa Mkoa wa rukwa Kamishna Mstaafu Zelote Stephen amezishauri taasisi za kidini nchini kuhakikisha wanaangalia fursa za kuwekeza kwenye viwanda ili kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dk. John Pombe Magufuli.

Amesema kuwa taasisi za kidini zimejitahidi sana kuisaidia serikali katika kuimarisha huduma za kijamii kama vile elimu na afya kwa kujenga mashule na vituo vya afya, lakini imefika wakati kuanza kufikiria fursa zilizopo katika uwekezaji wa viwanda.

“Tutafurahi sana tukisikia kuwa kuna viwanda vinavyomilikiwa na madhehebu ya dini, Kama vile Mvinyo si lazima kuagiza kutoka nje ya Mkoa kama rasilimali zinapatikana hapa, Ngozi zinatyupwa lakini viwanda vya Ngozi hakuna, halafu ukienda dukani unaulizia kama kiatu kimetengenezwa kwa “pure leather”, naomba tuunge Mkono jitihada za serikali ya awamu ya tano,” Amesema.

Ametoa ushauri huo alipokuwa akitoa salamu kwenye Jubilei ya miaka 50 ya parokia ya Mtakatifu  Epifania jimbo la Sumbawanga ambapo mgeni rasmi wa sherehe hizo alikuwa Askofu wa kanisa Katoliki jimbo la Sumbawanga Mhashamu Baba Askofu Damian Kyaruzi.

Na kuongeza kuwa waumini wakiungana kwa nia hiyo, wanaweza kufanya maajabu na kuanzisha kiwanda katika Mkoa.

Kwa upande wake Mgeni Rasmi wa sherehe hizo Askofu wa kanisa Katoliki jimbo la Sumbawanga Mhashamu Baba Askofu Damian Kyaruzi alimshukuru Mkuu wa Mkoa kwa nasaha zake na kupitia miradi mbalimbali ambayo kanisa inaifanya katika maeneo mbalimbali ya Mkoa.

“Tunashukuru Mh. Mkuu wa Mkoa kwa kupitia miradi yetu, tunafanya shughuli za kijamii za elimu na afya kwa kujenga mashule na mahospitali, na kwa nasaha zako umetupa nguvu na tutakuja ofisini kwako bila ya taarifa.” Alimalizia.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KIDATO CHA PILI 2025 November 05, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • BODI YA USHAURI YA HOSPITALI YA RUFAA SUMBAWANGA YAZINDULIWA, YAAGIZWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA MENEJIMENTI KUBORESHA HUDUMA.

    November 28, 2025
  • PPRA YAANZA MAFUNZO KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA

    December 25, 2025
  • RC MAKONGORO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA AMANI RUKWA , ASISITIZA UOMJA NA KULINDA AMANI KWA MAENDELEO YA MKOA

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa