• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Rukwa ashauri taasisi za kidini kuwekeza kwenye viwanda

imewekwa Tar: October 22nd, 2017

Mkuu wa Mkoa wa rukwa Kamishna Mstaafu Zelote Stephen amezishauri taasisi za kidini nchini kuhakikisha wanaangalia fursa za kuwekeza kwenye viwanda ili kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dk. John Pombe Magufuli.

Amesema kuwa taasisi za kidini zimejitahidi sana kuisaidia serikali katika kuimarisha huduma za kijamii kama vile elimu na afya kwa kujenga mashule na vituo vya afya, lakini imefika wakati kuanza kufikiria fursa zilizopo katika uwekezaji wa viwanda.

“Tutafurahi sana tukisikia kuwa kuna viwanda vinavyomilikiwa na madhehebu ya dini, Kama vile Mvinyo si lazima kuagiza kutoka nje ya Mkoa kama rasilimali zinapatikana hapa, Ngozi zinatyupwa lakini viwanda vya Ngozi hakuna, halafu ukienda dukani unaulizia kama kiatu kimetengenezwa kwa “pure leather”, naomba tuunge Mkono jitihada za serikali ya awamu ya tano,” Amesema.

Ametoa ushauri huo alipokuwa akitoa salamu kwenye Jubilei ya miaka 50 ya parokia ya Mtakatifu  Epifania jimbo la Sumbawanga ambapo mgeni rasmi wa sherehe hizo alikuwa Askofu wa kanisa Katoliki jimbo la Sumbawanga Mhashamu Baba Askofu Damian Kyaruzi.

Na kuongeza kuwa waumini wakiungana kwa nia hiyo, wanaweza kufanya maajabu na kuanzisha kiwanda katika Mkoa.

Kwa upande wake Mgeni Rasmi wa sherehe hizo Askofu wa kanisa Katoliki jimbo la Sumbawanga Mhashamu Baba Askofu Damian Kyaruzi alimshukuru Mkuu wa Mkoa kwa nasaha zake na kupitia miradi mbalimbali ambayo kanisa inaifanya katika maeneo mbalimbali ya Mkoa.

“Tunashukuru Mh. Mkuu wa Mkoa kwa kupitia miradi yetu, tunafanya shughuli za kijamii za elimu na afya kwa kujenga mashule na mahospitali, na kwa nasaha zako umetupa nguvu na tutakuja ofisini kwako bila ya taarifa.” Alimalizia.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa