• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Rukwa atoa masaa 24 kutawanywa kwa vifaa vya afya vya Magufuli.

imewekwa Tar: August 25th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Kamishna mstaafu Zelote Stephen amempa masaa 24 Mkuu wa Wilaya ya Kalambo kuhakikisha vifaa vya huduma za Afya vilivyorundikwa katika zahanati ya Kasanga anavitawanya na kuanza kutumika katika zahanati hiyo na nyinginezo ili kusaidia upungufu wa vitanda uliopo kwenye zahanati hizo.

Alitoa agizo hilo baada ya kuvikuta vitanda vitano, magodoro matano pamoja na mashuka kumi ya hospitali yakiwa yamehifadhiwa kwenye store ya dawa ya zahanati hiyo wakati alipofanya ziara ya kushtukiza ili kujionea hali halisi ya iwepo wa madawa na huduma zinazopatikana katika zahanati hiyo inayohudumia wananchi zaidi ya 2000.

Vifaa hivyo ni miongoni mwa Vitanda 16 vyakuzalishia, Vitanda 80 vya Wagonjwa, Magodoro 80, na Mashuka 200 vilivyotolwa kwa Mkoa wa Rukwa ambavyo alivigawa Mh. Zelote tangu tarehe 27/7/2017 kwa niaba ya Rais John Pombe Magufuli aliyetoa vifaa hivyo kwenye halmashauri zote nchini ili kusaidia upungufu wa vifaa hivyo kwenye vituo vya afya na zahanati na kuboresha huduma za afya nchini.

“Mh. Rais hakutoa vifaa hivi ili vije kukaa kwenye stoo wakati kuna wananchi huko wanalala chini, mpaka kufikia kesho nitaagiza gari ije kuvibeba ili vikatumike kwa zahanati zenye shida zaidi maana ninyi hamna shida,” Mh. Zelote Alisema.

Pamoja na hayo Mh. Zelote aligundua kuwa Zahanati hiyo haina Mganga na baada ya kuhoji alijibiwa kuwa Mganga wa Hospitali hiyo yupo masomoni na tangu mwezi wa sita mwaka huu ameanza mitihani yake hali ambayo ilimstaajabisha Mh. Zelote na kuahidi kulishughulikia jambo hilo.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa