• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Rukwa atoa miezi miwili kukamilishwa kwa barabara Mollo - Songambele Azimio

imewekwa Tar: August 31st, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa KamishnamStaafu Zelote Stephen amewaagiza wakurugenzi wa Halmashauri ya Sumbawanga vijiji na Manispaa kuhakikisha wanamalizia ujenzi wa barabara ya Mollo - Songambele Azimio kabala ya Msimu wa Mvua kuanza.

Ametoa agizo hilo baada ya kutembelea katika kijiji hicho kuona maendeleo ya miti aliyoshiriki kuipanda pamoja na wanakijiji hao katika maadhimisho ya siku ya kupanda miti kimkoa tarehe 19/1/2017 ambapo siku hiyo aliahidi kuwajengea barabara hiyo.

"Wakurugenzi nataka kabla ya Mvua kunyesha barabara hiyo iwe tayari, Mkurugenzi wa Sumbawanga Vijiji kwakuwa wewe umesema kipande chako ni kidogo sana basi ukimaliza kesho nitafurahi sana." Alisema.

Nao kwa upande wao kila mmoja baada ya kupewa nafasi Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Suumbawanga Saad Mtambule alisema kuwa barabara hiyo imeshaanza matengenezo kwa kiwango cha changarawe na kuwa inaendelea vizuri.

Nae Mkurugenzi wa Halmashauri ya Sumbawanga Vijijini Nyangi Msema Kweli aliahidi kuwa ahizo hilo litatekelezwa kwani tangu ahadi itolewe mwanzoni mwa mwaka huu, halmashauri ilishaiweka barabara hiyo kwenye bajeti ya mwaka wa fedha 2017/2018 na kuwaahidi kuwa pesa ipo ya kufanaya matengenezo hayo.

msisitizo huo uliibuka baada ya Diwani  wa Msanda muungano Mh. Charles Kanoni kuanza kufanya mikutano na kuwaambia wananchi kuwa barabara hiyo haitatengenezwa kakuwa haikuwa kwenye bajeti yoyote ya halmashauri ya Sumbawanga Vijijini jambo ambalo lilimshtua Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Dk. Khalfan Haule.

Dk. Haule alisisitiza kuwa alitegemea diwani kuwa mstari wa mbele kuhamasisha maendeleo na badala yake anakuwa kinyume na matarajio ya wanakijiji na kumuonya kutojihusisha na kusema uongo kwa wananchi ili ajitengenezee ulaji na kuongeza kuwa serikali ya awamu hii inatekeleza ahadi zake zote na hakuna ahadi itakayotolewa ambayo haitatekelezwa.

Ziara hiyo ilikuwa maalum kwaajili ya kuhamasisha upandaji wa miti katika kijiji hicho ili kiwe cha mfano katika Wilaya na Mkoa wa Ujumla juu ya upandaji wa Miti.

Aidha, Mh. Zelote pia aliahidi kukisaidia kikundi cha ngoma cha Mwalimu Nyerere cha kijiji hicho kuimarisha vifaa vyao na hatimae kuendelea kufanya shughuli zao kwa ufanisi na kujiongezea kipato katika shughuli zao za kila siku.

"Kama nilivyoahidi nilipokuja mwanzoni mwa mwaka huu leo hii nimetoa shilingi 167000 kwa kikundi hiki ili waboreshe vifaa vyao vya kazi," RC alisema.

Na kuwaomba wadau mbalimbali wa utamaduni kujitokeza kusaidia kuuinua utamaduni wa wafipa na wa mkoa kwa ujumla.


Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa