• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Rukwa atoa Siku tatu kuhakikisha huduma ya upasuaji inapatikana Wampembe

imewekwa Tar: September 16th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Kamishna Mstaafu Zelote Stephen ameipa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi siku tatu kuhakikisha kuwa wanafanya marekebisho ya mfumo wa maji unaohudumia kituo cha afya cha Wampembe jambo ambalo linakwamisha huduma ya maji katika kituo hicho.

Ametoa agizo hilo alipofanya ziara ya ghafla katika kituo hicho ili kuona utekelezaji wa maagizo yake aliyoyatoa tangu kuanza kwa mwaka huu, ziara hiyo ya siku tatu ililenga kuangalia utekelezaji katika sekta ya elimu, afya, maji, na uwekezaji wa viwanda.

Katika kuhakikisha jambo hilo linakamilika aliagiza mhandisi wa maji wa Halmashauri hiyo Eric Namakonde ambaye aliambatana na msafara huo kubaki siku hizo na kuhakikisha kuwa mradi huo unakamilika na kupatiwa ripoti.

“Nimekuja mwezi wa tano na kuagiza hili jambo likamilike mpaka sasa sioni kinachoendelea, huwa sipendi kurudia maagizo sasa mhandisi wa maji ubaki hapa hadi marekebisho yakamilike na taarifa inifikie mezani ndani ya siku tatu,” Amesema

Kijiji cha Wampembe kipo mwambao wa Ziwa Tanganyika, Wilaya ya Nkasi na kutoka makao makuu ya wilaya hadi katika Kijijini hapo ni kilomita 117 umbali ambao unasababisha hali mbaya kwa wananchi ambao wanataka kufanyiwa upasuaji katika kituo hicho ambacho kina maabara iliyokamilika ila inakosa huduma ya maji tu, na gharama ya marekebisho ya uharibifu Shilingi 800,000/=.

“Msafara huu ambao nimekuja nao, si ushafikia hiyo gharama tayari, sasa mnataka tuwe tunakuja huku kila siku kwaajili ya jambo hili tu, sasa sitaki kurudi huku kwa jambo hili tena,” Amesema.

kwa muda wa miaka miwili wananchi wamekuwa wakilazimika kuchota maji katika visima vilivyopo Kijiji hapo na kufikisha kituoni hapo pindi ndugu yao anapotaka kufanyiwa upasuaji jambo ambalo Mh. Zelote hakukubaliana nalo.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa