• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wanagabo awataka wanarukwa kuiga wananchi wa Sokolo kurasimisha makazi.

imewekwa Tar: March 15th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amewataka wananchi wa Mkoa wa Rukwa kwenda kujifunza namna bora ya kurasimisha makazi yao kwa kushirikiana na halmashauri kwa wananchi wa mtaa wa Sokolo katika kata ya Kizwite, Manispaa ya Sumbwanga.

Pamoja na kusifu jitihada hizo za wakazi hao pia ameitaka manispaa ya Sumbawanga kuhakikisha wanakuwa karibu na wakazi hao ili kuwa na taarifa zilizosawa kwa pande zote kuliko kuwa na sintofahamu ya michango inayochangwa na wananchi pamoja na huduma inayotolewa na Manispaa kwa wananchi hao na kuwataka wananchi hao kutoa michango kama walivyokubaliana.

“Niwatake wananchi wenyewe, niwaombe mchangie kama vile ambavyo mmekubaliana, gharama hizi za kuchangia kiwanja 120,000/= sio kubwa ni ndogo, mahala pengine wanagawiwa viwanja kwa mita za mraba na mita moja ya mraba inakwenda mpaka shilingi 3000/= amabzo ni nyingi kwasababu kiwanja kimoja kinaweka kuwa na mita za mraba labda 600 ukizidisha na shilingi 3000/= unapata zaidi ya hiyo 120,000/= lakini hapa kwa pesa hiyo unapata mpaka hati miliki hili ni jambo la kulichangamkia,”

Mradi huo wa urasimishaji makazi ulianza mwaka 2016 kwa makubaliano ya wakazi wa mtaa wa Sokolo na Ofisi ya Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga, mtaa una jumla ya viwanja 853 na kaya 350 huku kila kaya ikitakiwa kulipia Tsh. 120,000/= huku Shilingi 9,204,000 zikiwa zimekusanywa kwa baadhi ya kaya ambapo jumla ya gharama za mradi ni shilingi Milioni 30.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 July 08, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA - 2025, KULINGANA NA MATOKEO YALIYOTANGAZWA NA BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA (NECTA) June 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO ATEMBELEA FORODHA YA KASESYA, AHAMASISHA UWEKEZAJI

    July 15, 2025
  • RC MAKONGORO AFUNGUA JENGO JIPYA LA TAWI LA TCB SUMBAWANGA, APONGEZA KUIMARIKA KWA HUDUMA ZA KIFEDHA.

    July 10, 2025
  • UFAULU KIDATO CHA SITA; RUKWA YAZIDI KUPAA, RC MAKONGORO APONGEZA

    July 10, 2025
  • SERIKALI YAPIGA MARUFUKU TOZO ZA CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGO

    July 10, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa