• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo achangia mifuko 10 ya Saruji ujenzi wa Choo Kaswepepe.

imewekwa Tar: October 22nd, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amechangia mifuko 10 ya saruji kwaajili ya ujenzi wa choo kilichopo katika soko la mtaa wa Kaswepepe, kata ya Sumbawanga asilia, Mjini Sumbawanga ili wafanyabiashara wasipate shida ya huduma hiyo.

Mh. Wangabo amesema kuwa ameamua kuwekeza kwa wananchi na kuweza kumfuatilia Mkurugenzi ili kuona kama anatoa huduma stahiki kwa wananchi.

Ametoa ahadi hiyo baada ya kusimamisha msafara uliokuwa ukipita katika mtaa huo na kuona soko likiwa limeanzishwa kwenye barabara na kutaka kujua changamoto wanazokutana nazo katika shughuli zao za kila siku, ndipo mmoja wa wananchi hao alipotaja changamoto ya choo.

“Kama alivyosema Mkurugenzi, najua manispaa imeshajiandaa, na mimi nitatoa mifuko 10 ya “Cement” kuwaunga mkono na ninatoa hiyo mifuko 10 ili huyu mkurugenzi asinichenge kwasababu na mimi ni mdau nimekwisha wekeza hapo kwenye soko ili hawa kinamama wapate amahali pazuri pa kufanya biashara zao kwenye kivuli, wasinyanyaswe kwasababu wako kwenye maeneo kama haya,” Alisema.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa ya Sumbawanga Jacob Mtalitinya alikiri kuwa uongozi wa soko hilo ulifika ofisini kwake ili kutatuliwa shida hiyo ya choo na kuelekeza kuwa ipo kwenye mpango wa kuboresha masoko katika kata 19 za Manispaa ya Sumbawanga.

“Kwasababu wao tayari wana eneo, tulisema suala la choo tutalishughulikia, tufanye ukamilishaji wa hicho choo, ili wananchi sasa kwa hiyari yao bila ya kuwalazimisha wala kuleta vurugu, tuwaombe waende eneo ambalo ni la soko kwaajili ya kupunguza hatari inayoweza kujitokeza,” Alibainisha.

Suala hilo la choo liliibuliwa na mmoja wa wananchi wa mtaa huo Ditmali Mwageni ambae alimueleza Mkuu wa Mkoa juu ya sababu ya wao kufanya kazi pembeni ya barabara hadi kukutwa na msafara wake ni kutokuwa na choo katika eneo la soko jambo ambalo tayari wameshalifika katika Ofisi ya mkurugenzi wa Manispaa.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI October 24, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA - MAPOKEZI YA FEDHA KIASI CHA SHILINGI BILIONI 3.8 KWA AJILI YA SEKTA YA AFYA October 05, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI- RUKWA September 27, 2023
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 13, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • UMOJA NA MSHIKAMANO SILAHA ZA MAFANIKIO MIAKA 62 YA UHURU

    December 09, 2023
  • MAKONGORO AWATAKA WADAU KUILIPA TEMESA KWA WAKATI

    November 21, 2023
  • MAPAMBANO DHIDI YA MALARIA; WANAFUNZI RUKWA KUGAWIWA VYANDARUA

    October 19, 2023
  • MAKONGORO ATAKA MIRADI IKAMILIKE KABLA YA OKTOBA 30, 2023.

    October 18, 2023
  • Angalia Zote

Video

Serikali Kuimarisha mahusiano na Sekta Binafsi
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0735019734

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa