• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo aeleza mafanikio ya miaka mitatu ya utekelezaji wa Ilani ya CCM Rukwa.

imewekwa Tar: October 13th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ameeleza mafanikio yaliyopatikana katika sekta mbalimbali mkoani wa Rukwa ikiwa ni utekelezaji wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi kwa kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wa serikali ya awamu ya tanounaosimamiwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli.

 Amesema kuwa huduma za kijamii zikiwemo afya na elimu zimeendelea kuimarika na kuongeza kuwa hadi sasa serikali imetoa shilingi bilioni 4.1 zilizotumika kujenga na kukarabati vituo vya afya 9 pamoja na kutenga shilingi bilioni 1.5 kwaajili ya kuanza ujenzi wa hospitali za wilaya huku katika ngazi ya vijiji serikali imejenga zahanati mpya 19 na nyingine 60 zikiendelea kumaliziwa.

Kwa upande wa elimu Mh. Wangabo amesema kuwa uandikishaji wa darasa la kwanza umeongezeka kwa asilimia 26 toka mwaka 2015 na idadi ya shule zenye kidato cha tano zimeongezeka kutoka shule 10 mwaka 2016 hadi shule 15 mwaka 2018, hii ni sawa na ongezeko la asilimia 50.

“Serikali imeendelea na jitihada za kuboresha sekta ya elimu kwa kuhakikisha madawati yanatengenezwa mashuleni. Aidha, katika kipindi cha mwaka 2015/2016 tulikuwa na madawati 37,311 kwa shule za msingi, meza 21,757 na viti 22,093 kwa shule za Sekondari. Aidha, kwa mwaka 2018 madawati yameongezeka kufikia 80,501 kwa shule za msingi, meza na viti 33,686 kwa sekondari  kufikia mwaka huu 2018.”Alisema.

Kwa upande wa upatikanaji wa maji katika mkoa wa Rukwa umeongezeka kutoka asilimia 45 mwaka 2015 hadi kufikia asilimia 53.3 mwaka 2018 huku serikali ikitenga shilingi bilioni 5.6 kwa bajeti ya mwaka 2018/2019 kwaajili ya kuendelea na ujenzi wa miradi ya maji na kampeni ya usafi wa mazingira mkoani Rukwa.

Aidha, pato la mwanachi katika Mkoa limeongezeka kutoka shilingi 3,714,792 kwa mwaka 2016 hadi kufikia shilingi 4,064,393 mwaka 2017 kwa mujibu wa takwimu za mwezi April, 2018 kutoka ofisi ya takwimu (NBS)

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa