• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo aendelea kuelimisha wanarukwa juu ya ugonjwa wa Corona

imewekwa Tar: May 31st, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa mh. Joachim Wangabo ameendelea kuwatahadharisha wananchi wa mkoa huo juu ya uwepo wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona (Covid – 19) na kuwataka kuendelea kuvaa barakoa na kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka pamoja na kufuata maelekezo yote ya wataalamu wa afya.

Aidha, amesisitiza kuendelea kujifukiza kwa kutumia majani yaliyoelekezwa na wataalamu, majani ambayo yanapatikana kwa wingi sana katika mkoa wa Rukwa na kuwaasa kutoona aibu kwani njia hizo zimekubaliwa na kiutambuliwa na taasisi za afya nchini pamoja na kurtumika na viongozi mbali mbali wa ngazi za juu nchini.

“Watu wanaambiana kwamba ugonjwa umeisha, haujaisha, ugonjwa wa Covid – 19 bado upo, na sisi mkoa wa Rukwa tumepata wagonjwa pia, wengine wamepona wengine bado, kwahiyo chukueni tahadhari, ugonjwa bado upo na Mheshimiwa Rais wetu kipenzi cha watanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli amekwisha tahadharisha pia kwamba ugonjwa huu upo, ila tumshukuru Mwenyezi mungu sana kwasababu ukali wa ugonjwa huu sio kama ilivyotokea kule Marekani, Hispania, Italy na kwingineko, tuna unafuu mkubwa sana kwahiyo tumshukuru Mwenyezi mungu kwa jambo hili,” Alisema.

Halikadhalika aliwataka wananchi hao kuendelea kutumia nyumba za ibada kufanya maombi na kuwasihi kuendelea vyombo vya kunawia katika nyumba hizo za ibada pamoja na kuvaa barakoa kwenye mikusanyiko hiyo huku akieleza umuhimu wa barakoa kuwa ni kubaki na vimelea vyako wakati wa kukohoa ama kupiga chafya ili visisambae kwa wengine na kuwaletea madhara.

“Umuhimu wake ni kwamba mimi ninapoongea kama hivi, tunapopeana mita mbili tatu, tunapoongea mate yanatoka, yanapotoka yaishie kwenye barakoa, ndio maana tunazivaa, hatuvai kama vile mapambo na kuwa tumeelekezwa tu tuvae, hapana, lakini pia unazuia pale ambapo mwenzako anaongea yale mate yake yasikufikie wewe, ni lazima tutumie barakoa ili kuhakikisha kwamba maambuki haya yasikufikie wewe ama yasimfikie mwenzako kama wewe unayo bila ya kufahamu,” Alitahadharisha.

Pia alieleza kuwa endapo mtu atapatwa na dalili za ugonjwa huo ambazo ni homa kali, vidonda vya kooni, mwili kuchoka, na kukohoa mara kwa mara akimbilie katika kituo cha kutolea huduma za afya ili ajue hali yake na kuchukua hatua stahiki.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KIDATO CHA PILI 2025 November 05, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • BODI YA USHAURI YA HOSPITALI YA RUFAA SUMBAWANGA YAZINDULIWA, YAAGIZWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA MENEJIMENTI KUBORESHA HUDUMA.

    November 28, 2025
  • PPRA YAANZA MAFUNZO KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA

    December 25, 2025
  • RC MAKONGORO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA AMANI RUKWA , ASISITIZA UOMJA NA KULINDA AMANI KWA MAENDELEO YA MKOA

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa