• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo amezitaka kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya kukamata wazazi wa wanafunzi watoro.

imewekwa Tar: November 15th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amezitaka kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya kwa kushirikiana na watendaji wa kata na vijiji kuwakamata wazazi wa wanafunzi watoro ili kukomesha utoro mashuleni nahatimae kuongeza kasi ya ufaulu katika Mkoa.

Amesema kuwa haiwezekani wanafunzi wawe watoro na wazazi wapo hawafanyi lolote ili kuhakikisha watoto wao wanapata elimu stahiki kwaajili ya maendeleo yao, kuongeza ufaulu katika mkoa na maendeleo ya Taifa kwa ujumla.

“Nimesikitika kwamba matokeo ya shule yenu sio mazuri hayaridhishi, kuna utoro wa reja reja na utoro wa kudumu, nimeshaagiza hatua kali zichukuliwe dhidi ya watoro lakini kamati ya ulinzi na usalama muendele mbali zaidi watoro wote wakamatwe hata wazazi pia wakamatwe, isiwe mtoto tu aliyetoroka, si ana wazazi wake, kamata mzazi mtoto peleka polisi wakajieleze vizuri,” Alisisitiza.

Ameyasema hayo alipotembelea Shule ya Sekondari ya Vuma iliyopo kata ya Mtowisa, Bonde la Ziwa Rukwa, Wilayani Sumbawanga kwa lengo la kujionea maendeleo ya wanafunzi hao katika ufaulu na changamoto zilizopo kwenye shule hiyo.

Aidha Mh. Wangabo amewasisitiza wanafunzi hao kuwa na maadili na nidhamu wawapo shuleni kwani kufanya hivyo kutawaongezea ufaulu na mafanikio katika maisha yao na kuongeza kuwa wanafunzi watukutu siku zote hawafanikiwi katika maisha yao na matokeo yake huishia mitaani.

 Kwa upande wake Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Basilo Matondwa amesema kuwa wanafunzi wa eneo hilo huwa na utoro zaidi katika kipindi cha msimu wa kilimo na kusema kuwa chaguo la kwanza la wanafunzi hao ni kujipatia fedha halafu shule hufuata.

“Wanafunzi watatu watoro zadi ya siku 90 wamefukuzwa shule mwezi wa nane na bodi ya shule na wanafunzi 22 watoro wa leja leja majina yao yamepelekwa kwa mtendaji wa kata kuwashughulikia ili warejee tena darasani,” Alisema.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI October 24, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA - MAPOKEZI YA FEDHA KIASI CHA SHILINGI BILIONI 3.8 KWA AJILI YA SEKTA YA AFYA October 05, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI- RUKWA September 27, 2023
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 13, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MAKONGORO AWATAKA WADAU KUILIPA TEMESA KWA WAKATI

    November 21, 2023
  • MAPAMBANO DHIDI YA MALARIA; WANAFUNZI RUKWA KUGAWIWA VYANDARUA

    October 19, 2023
  • MAKONGORO ATAKA MIRADI IKAMILIKE KABLA YA OKTOBA 30, 2023.

    October 18, 2023
  • KIWANJA CHA NDEGE SUMBAWANGA KUKAMILIKA MACHI 2025

    October 02, 2023
  • Angalia Zote

Video

Serikali Kuimarisha mahusiano na Sekta Binafsi
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0735019734

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa