• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo amezitaka kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya kukamata wazazi wa wanafunzi watoro.

imewekwa Tar: November 15th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amezitaka kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya kwa kushirikiana na watendaji wa kata na vijiji kuwakamata wazazi wa wanafunzi watoro ili kukomesha utoro mashuleni nahatimae kuongeza kasi ya ufaulu katika Mkoa.

Amesema kuwa haiwezekani wanafunzi wawe watoro na wazazi wapo hawafanyi lolote ili kuhakikisha watoto wao wanapata elimu stahiki kwaajili ya maendeleo yao, kuongeza ufaulu katika mkoa na maendeleo ya Taifa kwa ujumla.

“Nimesikitika kwamba matokeo ya shule yenu sio mazuri hayaridhishi, kuna utoro wa reja reja na utoro wa kudumu, nimeshaagiza hatua kali zichukuliwe dhidi ya watoro lakini kamati ya ulinzi na usalama muendele mbali zaidi watoro wote wakamatwe hata wazazi pia wakamatwe, isiwe mtoto tu aliyetoroka, si ana wazazi wake, kamata mzazi mtoto peleka polisi wakajieleze vizuri,” Alisisitiza.

Ameyasema hayo alipotembelea Shule ya Sekondari ya Vuma iliyopo kata ya Mtowisa, Bonde la Ziwa Rukwa, Wilayani Sumbawanga kwa lengo la kujionea maendeleo ya wanafunzi hao katika ufaulu na changamoto zilizopo kwenye shule hiyo.

Aidha Mh. Wangabo amewasisitiza wanafunzi hao kuwa na maadili na nidhamu wawapo shuleni kwani kufanya hivyo kutawaongezea ufaulu na mafanikio katika maisha yao na kuongeza kuwa wanafunzi watukutu siku zote hawafanikiwi katika maisha yao na matokeo yake huishia mitaani.

 Kwa upande wake Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Basilo Matondwa amesema kuwa wanafunzi wa eneo hilo huwa na utoro zaidi katika kipindi cha msimu wa kilimo na kusema kuwa chaguo la kwanza la wanafunzi hao ni kujipatia fedha halafu shule hufuata.

“Wanafunzi watatu watoro zadi ya siku 90 wamefukuzwa shule mwezi wa nane na bodi ya shule na wanafunzi 22 watoro wa leja leja majina yao yamepelekwa kwa mtendaji wa kata kuwashughulikia ili warejee tena darasani,” Alisema.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADAKTARI BINGWA 33 WAPOKELEWA RUKWA, HUDUMA ZA KIBINGWA KUTOLEWA HOSPITALI ZA WILAYA KWA SIKU TANO

    May 19, 2025
  • RUKWA YAANZA RASMI MATUMIZI YA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI KWA ZAO LA MBAAZI NA UFUTA

    May 13, 2025
  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa