• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo asikitishwa na mahudhurio ya wakurugenzi kwenye vikao muhimu

imewekwa Tar: November 19th, 2018

Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amesikitishwa na kitendo cha wakurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Sumbawanga kutohudhuria katika kikao muhimu cha mpango mkakati wa kuhakikisha mkoa wa Rukwa unaepukana na udumavu.

Amesema kuwa suala la udumavu katika mkoa ni jambo la kupewa kipaumbele kutokana na mkoa huo kuwa kinara katika udumavu kwa asilimia 56 huku kitaifa ikiwa ni aslimia 34 na kuongeza kuwa kitendo cha wakurugenzi hao kupuuzia jambo hilo kwa kutokuhudhuria wanaonesha namna ambayo wanarudisha nyuma juhudi za mkoa katika kuhakikisha wanapunguza udumavu mkoani humo.

“Vikao hatupo, mipango mingi, utendaji sifuri, mimi sio mtu wa kuzungumza sana, mi nataka kuona vitu vikienda, lakini kwa mwendo huu ambao ninauona hapa napoteza nguvu nyingi sana kwa matokeo sifuri, tangu jana nilikuwa napigana kuomba takwimu sijapewa labda watazisoma hapa kwamba mmekusanya kiasi gani dhidi ya kile ambacho kilipangwa mwaka jana na sasa tunaendelea kupanga hicho hicho ambacho tulikipanga huko nyuma, vikao hatupo mnatuma tu watu, sasa naona mkwamo kabla ya hata kupanga.” Alisisitiza

Alitoa kauli hiyo wakati alipokuwa akifungua kikao mpango wa lishe wa mkoa kilichowajumuisha wajumbe wa kamati ya lishe wa Mkoa pamoja na wajumbe wa kamati hiyo katika ngazi ya halmashauri ya Weilaya ya Sumbawanga na halmashauri ya manispaa ya sumbawanga.

Katika mwaka wa fedha 2017/2018 kila halmashauri ilitakiwa kutenga shilingi 1000/= kwa watoto chini ya miaka mitano ambao wapo zaidi ya 240,000 katika mkoa na hivyo kutakiwa kukusanya zaidi ya shilingi milioni 240 lakini hakuna hata halmashauri moja iliyoweza kufikia lengo la makusanyo hayo na kuzifikisha fedha hizo kwa wahusika.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KIDATO CHA PILI 2025 November 05, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • BODI YA USHAURI YA HOSPITALI YA RUFAA SUMBAWANGA YAZINDULIWA, YAAGIZWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA MENEJIMENTI KUBORESHA HUDUMA.

    November 28, 2025
  • PPRA YAANZA MAFUNZO KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA

    December 25, 2025
  • RC MAKONGORO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA AMANI RUKWA , ASISITIZA UOMJA NA KULINDA AMANI KWA MAENDELEO YA MKOA

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa