• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo asisitiza Unyenyekevu, Uadilifu na Uwajibikaji kwa watumishi.

imewekwa Tar: November 11th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amesisitiza Uwajibikaji, na kujituma kwa watumishi wote wa serikali mkoani humo ili kuweza kupeleka mbele gurudumu la maendeleo na kuwatumikia wananchi ambao wapo ili waweze kuhudumiwa na watumishi.

Amesema kuwa bila ya uadilifu katika matumizi ya fedha za utekelezaji wa miradi ya maendeleo zinazotolewa na serikali katika halmashauri hakutakuwa na maendeleo lengwa jambo litakaoiingizia serikali hasara na kurudi nyuma kimaendeleo.

Ameyasisitiza hayo alipokutana na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi katika ziara yake ya siku mbili iliyolenga kutembelea miradi mbalimbali ya halmashauri pamoja na kujitambulisha kwa watumishi na makundi mbalimbali ya wananchi katika wilaya.

“Jambo ninalosisitiza la kwanza ni uwajibikaji, kila mtumishi wa serikali anatakiwa kuwajibika kufanya kazi kwa bidii na kujituma, kwani serikali hutoa pesa nyingi za miradi ya maendeleo hivyo tusipokuwa waadilifu na kufanya kazi kwa bidi rasilimali zetu tutazipoteza, tunataka thamani ya fedha ionekane huko kwenye utekelezaji wa miradi hiyo,” Alisisitiza.

Pamoja na hayo RC Wangabo amewataka watumishi hao kuwa wanyeyekevu wanapokuwa wanawahudumia wananchi na kutotumia vyeo vyao kuwanyanyasa wananchi hao kwani kwa muda mrefu wananchi wamekuwa wakiogopa kuingia kwenye ofisi za kiserikali ili kutatuliwa changamoto na matatizo yanayowakumba kutoka katika maeneo yao.

Amesema kwa kufanya hivyo kutaipa sifa serikali na pia kujiwekea akiba ya uaminifu kwa wananchi wanaopewa huduma hiyo.

Matangazo

  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 July 08, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • REA KUANZA KUSAJILI NA KUUZA MAJIKO BANIFU MKOANI RUKWA

    August 28, 2025
  • MPANGO BORA WA UFUGAJI NYUKI WAWAFIKIA MACHIFU RUKWA

    August 20, 2025
  • TUME YA UCHAGUZI YAZITAKA TAASISI ZA ELIMU YA MPIGA KURA KUZINGATIA SHERIA NA MAELEKEZO

    July 31, 2025
  • RUKWA YAENDELEA KUCHUKUA HATUA THABITI KUDHIBITI VIFO VYA MAMA NA MTOTO

    July 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa