• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo ataka maeneo ya uwekezaji yaliyopo Rukwa kuendelea kutangazwa

imewekwa Tar: February 6th, 2020

Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amewataka viongozi wa taasisi mbalimbali pamoja na wakurugenzi wa halmashauri kuendelea kutangaza maeneo mbalimbali ya uwekezaji yaliyopo mkoani Rukwa ili kuunga mkono kauli mbiu ya wiki ya mahakama Tanzania.

Pia amewaasa wananchi kutumia fursa zilizopo za biashara na uwekezaji katika kujiendeleza kimaisha na kuinua hali zao, na kuongeza kuwa Maendeleo ya kimaisha katika biashara yatatoa nafasi ya maendeleo katika nyanja nyingine hususani huduma za Jamii.

“Ni Imani yangu kuwa Halmashauri pamoja na Taasisi nyingine za Serikali ambazo kwa njia moja ama nyingine zinahusika katika kukuza Biashara na Uwekezaji zitaendelea kutoa elimu ya biashara, kutangaza maeneo ya uwekezaji yaliyopo katika Mkoa wetu na kuhakikisha biashara zinafanyika katika mazingira rafiki ili kukuza uchumi na kuiwezesha Tanzania kuwa nchi ya uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025.” Alisema.

Ameyasema hayo katika kilele cha maadhimisho ya Wiki ya Mahakama yaliyofanyika katika viwanja vya mahakama ya mwanzo mjini Sumbawanga wakati akitoa salamu za Mkoa.  

Aidha ameutaka Muhimili huo wa Mahakama kujiepusha na Rushwa ili kutenda haki kwa wananchi bila ya kujali vipato vyao na hivyo kumsaidia yeye kupunguza msururu wa watu wanaokwenda ofini kwake kutaka kuingilia kati vitendo vinavyofanywa na watendaji wa mahakama jambo ambalo linachafua muhimili wa mahakama.

Kauli mbiu ya mwaka 2020 ya wiki ya mahakama “uwekezaji na biashara; wajibu wa mahakama na wadau kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji”.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa