• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo ataka mchanganuo wa fedha zilizotumika ujenzi wa kituo cha Afya Milepa

imewekwa Tar: November 18th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga kuhakikisha anampatia taarifa inayoonyesha mchanganuo wa matumizi ya fedha zilizotumika kupanua kituo cha Afya cha Milepa ili waweze kuwaeleza wananchi namna fedha hizo zilivyotumika na kiasi kilichookolewa kutokana na songambele walioifanya wakati wa uchimbaji wa misingi wa kituo hicho.

Kituo hicho ambacho kilipewa shilingi milioni 400 na serikali kupitia Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwaajili ya kujenga majengo matano ikiwemo, chumba cha upasuaji, Mochwari, maaabara, nyumba ya watumishi pamoja na wodi ya kina mama, hadi sasa imebakisha kumalizia jengo la watumishi ili kumaliza upanuzi huo.

“Huu mpango wa kusomeana taarifa kiujumla jumla mimi siukubali, kwamba ujenzi mpaka sasa umeshatumia milioni 340 bila ya mchanganuo mimi sielewi, kwahiyo ninataka ripoti ya kina hii sijaikubali, mtuandikie mtuandalie vizuri sana halafu muiwakilishe katika kikao cha kamati ya ulinzi na usalama, tutawapangia siku ili mtuambie ile mochwari mlitumia shilingi ngapi mpaka kufika pale na majengo mengine,” Alibainisha.

Aliyasema hayo alipotembelea kituo hicho cha afya ili kujionea maendeleo ya upanuzi wa kituo hicho na kuelekeza ujenzi huo umalizike haraka ili wananchi waanze kukitumia, kwani wamekisuburi kwa muda mrefu na muda wake uliopangiwa kumalizika umeshapita tena kwa miezi sita, kwani kituo hicho kilitakiwa kuisha mwezi Mei mwaka huu.

Wakati akisoma taarifa ya ujenzi wa kituo hicho Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga Nyangi Msemakweli alisema kuwa miongoni mwa changamoto kubwa wanayoipata katika kukamilisha ujenzi huo ni pamoja na kupata mafunzi wenye utaalamu ambao wengi wao hawapo mkoani Rukwa na matokeo yake kuzorotesha kasi ya ujenzi.

“Majengo hayo yote yako katika hatua za mwisho kama ulivyokuwa umeona katika ukaguzi yakiwa yamebakiza vipengele vidogo vidogo vingi vikiwa ni usafi wa mwisho isipokuwa jengo la upasuaji ambalo linahitaji fundi wa sakafu maalum kwenye chumba cha upasuaji, ambapo kuna changamoto ya kumpata fundi wa kukipiga sakafu kwenye chumba hicho, lakini tumefanya jitihada na kubaini kuwa fundi mwenye uwezo yupo mkoa wa Katavi na atapatikana.” Alisema.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa