• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo ateua Kamati ya amani Rukwa

imewekwa Tar: June 14th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ameteua timu ya watu watatu kutoka katika madhehebu matatu ya kidini mkoani humo ili kufanya maandalizi na uratibu wa uanzishwaji wa kamati ya amani inayotarajiwa kuanza kazi yake mwishoni mwa mwezi wa saba mwaka huu.

Amesema kuwa amani umoja, amani, mshikamano na udugu hauwezi kuwepo ikiwa amani itatoweka, hivyo hakuna budi kuwepo na kamati hiyo itakayoshirikisha viongozi wa dini kutoka pande zote ili kusaidiana katika kuhakikisha wananchi wanaendelea kufaidi matunda ya amani katika Mkoa nan chi kwa ujumla.

“Na ili tuwe na kamati hii ya amani ni lazima tufanye maandalizi, na haya maandalizi ni lazima yafanyike kwanza na timu ndogo, nimetua timu ndogo ya watu watatu kutoka kwenye madhehebu matatu tofauti ili wafanye maadalizi, wafanye kuratibishwa uanzishwaji wa hii kamati ya amani ambayo ndani ya mwezi mmoja watakuwa wamemaliza shughuli hii, na kuelekea mwishoni mwa mwezi wa saba tutaanza kiako chetu cha kwanza,” Alisema.

Ameyasema hayo katika hafla fupi ya futari iliyoandaliwa na ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Rukwa kwa ushirikiano na benki ya CRDB tawi la Sumbawanga iliyofanyika katika viwanja vya ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa ikiwajumuisha waislamu wa Mkoa wa Rukwa pamoja na viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini, viongozi wa chama, pamoja na watumishi wa umma.

Akitoa neon la shukurani Shekhe Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Alhaji Rashid Akilimali alimshukuru Mkuu wa Mkoa kwa maandalizi mazuri ya futari lakini pia alitumia nafasi hiyo kumpongeza kwa maamuzi ya kuanzisha kamati ya amani katika mkoa ili kuweza kuendeleza mshikamano katika mkoa na kubaki na amani katika mkoa nan chi kwa ujumla.

“Wenzetu wa Syria leo hawajafunga vizuri, wenzetu wa Yemen hawajafunga vizuri, wenzetu kwenye nchi mablimbali hawajafunga vizuri, leo sisi tunafunga sisi kwa amani tumekutana kwenye viwanja hivi, tunafturu vizuri hapa na ‘inshaAllah’ tukitoka hapa tunaelekea kwenye kwenye misikiti yetu kwa amani bila ya kusikia mtutu wa la bughudha, hivi ndivyo tulivyolelewa,” Alisisitiza.

Kwa upande wake Meneja wa CRDB tawi la Sumbawanga Cornelius Msigwa ameishukuru ofisi ya Mkuu wa mkoa pamoja na uongozi wa BAKWATA Mkoa wa Rukwa kwa kuonyesha mshikamano katika mwezi huu wa ramadhani pamoja na kuendelea kuomba kudumu kwa amani katika mkoa nan chi kwa ujumla.

Walioteuliwa ni Ustadh Mohammed Adam Katibu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Rukwa, ambaye pia ni mwenyekiti wa timu hiyo ndogo. Padre Edgar Mbegu Katibu wa Askofu kanisa Katoliki jimbo la Sumbawanga na Mchungaji Emanuel Sikazwe katibu Mkuu wa Kanisa la Monrovian Jimbo la Rukwa

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE( CSEE) 2025 January 31, 2026
  • MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI 2025 January 10, 2026
  • MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE 2025 January 10, 2026
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO SUMBAWANGA; ASISITIZA UMUHIMU WA HATI MILIKI ZA MAENEO YA TAASISI

    January 29, 2026
  • UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO; RC MAKONGORO AHIMIZA UBORA NA KUZINGATIWA KWA MUDA WA UTEKELEZAJI NKASI DC

    January 28, 2026
  • KUMBUKIZI YA KUZALIWA RAIS SAMIA; RC MAKONGORO AMUUNGA MKONO KWA KUONGOZA WANANCHI RUKWA KUPANDA MITI 4565

    January 27, 2026
  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa