• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo atoa mwezi mmoja kukamilika kwa kituo cha afya Mwimbi

imewekwa Tar: February 19th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ametoa mwezi mmoja kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya kalambo kuhakikisha wanamaliza ujenzi wa kituo cha afya cha mwimbi, kituo kilichoanza kujengwa tarehe 1/8/2017 na kufikia hatua ya kupauliwa.

Mkandarasi wa ujenzi huo mwakilishi wa SUMA JKT amesema kuwa kinachokwamisha kuendelea kwa ujenzi huo ni fedha ambapo wameomba kuidhinishiwa shilingi milioni 120 ili kuendelea na hadi Mkuu wa Mkoa anawasili kukagua maendeleo ya ujenzi huo fedha hizo hazijafika huku siku 14 zikiwa zimekatika bila ya mafanikio.

“Baada ya mwezi mmoja nitakuja hapa mnikabidhi wenye jengo likiwa limekamilika, hakuna sababu ya kuchelewesha kama fedha ipo, mkandarasi yupo, kwanini ujenzi umekwama, Mkurugenzi ndani ya siku mbili fedha hiyo iwe imetoka ili washambulie hili jengo liweze kuisha, vitu vichache sana vimebaki hapa” Alisema.

Na kuongeza kuwa uzembe huo ndio unaosababisha usumbufu wa huduma za afya kwa wananchi wanaozunguka eneo hilo hasa kina mama na watoto chini ya miaka mitano jambo linalorudisha nyuma juhudi za serikali ya awamu ya tano chini ya uongozi wa Rais mpendwa Dk. John Pombe Magufuli. 

Awali akitoa maelezo ya maendeleo ya ujenzi huo Mwakilishi wa SUMA JKT amesema kuwa tangu kuanza kwa ujenzi huo wametumia shilingi milioni 50 kati ya shilingi milioni 355 ambazo zinatakiwa kutumia hadi kumaliza mradi huo wenye thamani ya shilingi milioni 400.

Matangazo

  • Hotuba ya Bajeti ya WN -OR TAMISEMI 2022/23 April 20, 2022
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi April 20, 2022
  • Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) October 09, 2018
  • Kodi kwa Maendeleo September 15, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Chanjo Polio

    May 18, 2022
  • NFRA

    May 11, 2022
  • Vyama vya Ushirika

    May 05, 2022
  • Eng. Kundo: Nimeridhishwa na Zoezi la Anwani za Makazi Rukwa

    April 27, 2022
  • Angalia Zote

Video

RC Mkirikiti akabidhiwa Ofisi Rukwa
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Regional Block, 90 Mwl. Julius Nyerere Road

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0764902066

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa