• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo atoa mwezi mmoja kukamilika kwa kituo cha afya Mwimbi

imewekwa Tar: February 19th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ametoa mwezi mmoja kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya kalambo kuhakikisha wanamaliza ujenzi wa kituo cha afya cha mwimbi, kituo kilichoanza kujengwa tarehe 1/8/2017 na kufikia hatua ya kupauliwa.

Mkandarasi wa ujenzi huo mwakilishi wa SUMA JKT amesema kuwa kinachokwamisha kuendelea kwa ujenzi huo ni fedha ambapo wameomba kuidhinishiwa shilingi milioni 120 ili kuendelea na hadi Mkuu wa Mkoa anawasili kukagua maendeleo ya ujenzi huo fedha hizo hazijafika huku siku 14 zikiwa zimekatika bila ya mafanikio.

“Baada ya mwezi mmoja nitakuja hapa mnikabidhi wenye jengo likiwa limekamilika, hakuna sababu ya kuchelewesha kama fedha ipo, mkandarasi yupo, kwanini ujenzi umekwama, Mkurugenzi ndani ya siku mbili fedha hiyo iwe imetoka ili washambulie hili jengo liweze kuisha, vitu vichache sana vimebaki hapa” Alisema.

Na kuongeza kuwa uzembe huo ndio unaosababisha usumbufu wa huduma za afya kwa wananchi wanaozunguka eneo hilo hasa kina mama na watoto chini ya miaka mitano jambo linalorudisha nyuma juhudi za serikali ya awamu ya tano chini ya uongozi wa Rais mpendwa Dk. John Pombe Magufuli. 

Awali akitoa maelezo ya maendeleo ya ujenzi huo Mwakilishi wa SUMA JKT amesema kuwa tangu kuanza kwa ujenzi huo wametumia shilingi milioni 50 kati ya shilingi milioni 355 ambazo zinatakiwa kutumia hadi kumaliza mradi huo wenye thamani ya shilingi milioni 400.

Matangazo

  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 July 08, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • REA KUANZA KUSAJILI NA KUUZA MAJIKO BANIFU MKOANI RUKWA

    August 28, 2025
  • MPANGO BORA WA UFUGAJI NYUKI WAWAFIKIA MACHIFU RUKWA

    August 20, 2025
  • TUME YA UCHAGUZI YAZITAKA TAASISI ZA ELIMU YA MPIGA KURA KUZINGATIA SHERIA NA MAELEKEZO

    July 31, 2025
  • RUKWA YAENDELEA KUCHUKUA HATUA THABITI KUDHIBITI VIFO VYA MAMA NA MTOTO

    July 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa