• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo atoa siku kumi kukamilisha ujenzi wa hosptali ya wilaya

imewekwa Tar: June 24th, 2019

Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh.Joachim Wangabo amemwagiza Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Kalambo Palela Msongera kuhakikisha anakamilisha ujezi wa hospitali ya wilaya hiyo ndani ya siku kumi na kusisitiza kuchukua hatua kali za kisheria dhidi ya wakandarasi ambao wataenda kinyume na matakwa ya mkataba.

Ujezi wa hospitali ya wilaya ya Kalambo ulianza mwezi March 2019 na huku mkataba wake ukiwa ni miezi mitatu na ukijumuisha ujenzi wa majengo saba na kugharimu kiasi cha shilingi bilion1.8

Katika kuhakikisha ujezi huo unakamilika kwa wakati mkuu wa mkoa huo Mh.Joachim Wangabo analazimika kukagua maendeleo ya ujezi wa hospitali hiyo kwa kuuagiza uongozi wa halmashauri hiyo kuhakikisha ujezi huo unakamilika ndani ya siku kumi.

“Kumepoa kabisa na nimepata taarifa kwamba hawa mafundi kuwa kazi haziendi na hakuna hata msumari, watu wamekaa tu siku zinakwenda bado siku kumi, huli ni tatizo la usimamizi, tatizo la halmashauri, tatizo la viongozi kila kitu kilikuwa kwenye mpango, leo wananiambia “Cement” hakuna sijui nini, hizi ni sababu ambazo hazina mashiko, tutafikishana mbali Mkurugenzi ukae ukijua pamoja na viongozi wako wengine wote katika wilaya hii ya Kalambo, huu ni uzembe wa Makusudi wala sio vinginevyo na haipo katika mioyo wenu kwamba kila kukicha mimi nalifikiria jengo, mimi nashindwa kulala usingizi Sumbawanga kule nawafikiria ninyi huku lakini ninyi wenyewe mnalala?

Mkurugenzi mtendaji wa halamshauri hiyo Palela Msongera,amesema tayari wameanza jitihada za kusambaza maji kwenye maeneo hayo na kusema licha ya hilo wameagiza vifaa vya ujenzi ambavyo muda wowote vitafika eneo la ujenzi.

Hata hivyo ujezi wa hospitali hiyo upo katika hatua ya upauaji hivyo endapo ukikamilika kwa wakati itasaidia wananchi kuondokana na adha ya kutembea umbali mrefu wakati wa kutafuta huduma za matibabu.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE( CSEE) 2025 January 31, 2026
  • MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI 2025 January 10, 2026
  • MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE 2025 January 10, 2026
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO SUMBAWANGA; ASISITIZA UMUHIMU WA HATI MILIKI ZA MAENEO YA TAASISI

    January 29, 2026
  • UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO; RC MAKONGORO AHIMIZA UBORA NA KUZINGATIWA KWA MUDA WA UTEKELEZAJI NKASI DC

    January 28, 2026
  • KUMBUKIZI YA KUZALIWA RAIS SAMIA; RC MAKONGORO AMUUNGA MKONO KWA KUONGOZA WANANCHI RUKWA KUPANDA MITI 4565

    January 27, 2026
  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa