• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo atoa siku kumi kukamilisha ujenzi wa hosptali ya wilaya

imewekwa Tar: June 24th, 2019

Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh.Joachim Wangabo amemwagiza Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Kalambo Palela Msongera kuhakikisha anakamilisha ujezi wa hospitali ya wilaya hiyo ndani ya siku kumi na kusisitiza kuchukua hatua kali za kisheria dhidi ya wakandarasi ambao wataenda kinyume na matakwa ya mkataba.

Ujezi wa hospitali ya wilaya ya Kalambo ulianza mwezi March 2019 na huku mkataba wake ukiwa ni miezi mitatu na ukijumuisha ujenzi wa majengo saba na kugharimu kiasi cha shilingi bilion1.8

Katika kuhakikisha ujezi huo unakamilika kwa wakati mkuu wa mkoa huo Mh.Joachim Wangabo analazimika kukagua maendeleo ya ujezi wa hospitali hiyo kwa kuuagiza uongozi wa halmashauri hiyo kuhakikisha ujezi huo unakamilika ndani ya siku kumi.

“Kumepoa kabisa na nimepata taarifa kwamba hawa mafundi kuwa kazi haziendi na hakuna hata msumari, watu wamekaa tu siku zinakwenda bado siku kumi, huli ni tatizo la usimamizi, tatizo la halmashauri, tatizo la viongozi kila kitu kilikuwa kwenye mpango, leo wananiambia “Cement” hakuna sijui nini, hizi ni sababu ambazo hazina mashiko, tutafikishana mbali Mkurugenzi ukae ukijua pamoja na viongozi wako wengine wote katika wilaya hii ya Kalambo, huu ni uzembe wa Makusudi wala sio vinginevyo na haipo katika mioyo wenu kwamba kila kukicha mimi nalifikiria jengo, mimi nashindwa kulala usingizi Sumbawanga kule nawafikiria ninyi huku lakini ninyi wenyewe mnalala?

Mkurugenzi mtendaji wa halamshauri hiyo Palela Msongera,amesema tayari wameanza jitihada za kusambaza maji kwenye maeneo hayo na kusema licha ya hilo wameagiza vifaa vya ujenzi ambavyo muda wowote vitafika eneo la ujenzi.

Hata hivyo ujezi wa hospitali hiyo upo katika hatua ya upauaji hivyo endapo ukikamilika kwa wakati itasaidia wananchi kuondokana na adha ya kutembea umbali mrefu wakati wa kutafuta huduma za matibabu.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa