• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo atoa ufumbuzi mgogoro wa ujenzi Kituo cha Afya Samazi

imewekwa Tar: June 21st, 2019

Hatimaye Mkuu wamkoa wa Rukwa Joachim Wangabo amengilia kati mgogoro wa ujenzi wa kituo cha afya cha Samazi wilayani Kalambo uliodumu kwa zaidi ya miezi miwili baada kutokea kwa mvutano baina ya vijiji vinne huku kila kijiji kikitaka ujenzi ufanyike sehemu yake na hivyo kupelekea uongozi wa halmashauri hiyo kusimamisha harakati za ujenzi huo kwa lengo la kutafuta suluhu.

Kata ya Samazi inapatikana katika mwamabao wa ziwa Tanganyika licha ya hilo kata hiyo imekuwa ikikabiliwa na chanagamoto kubwa ya ukosefu wa kituo cha afya hali ambayo  imekuwa ikiwalazimu wananchi kutembea umbali wa zaidi ya km 20 ili kutafuta huduma za matibabu katika kituo cha afya cha Ngolotwa.

Kwa kuliona hilo serikali ilitoa fedha kiasi cha shilingi million 400 kwa ajili ya ujezi wa kituo cha afya katika maeneo hayo na kutoa maelekezo kwa wananchi kutafuta eneo la ujenzi hali ambayo ilipelekea kila kijiji kutoa mapendekezo yake na huku baadhi yao wakitaka kituo hicho kujengwa juu ya mlima na huku wengine wakiwa na mapendekezo tofauti na kupelekea uongozi wa mkoa huo kuingilia kati suala hilo.

Hata hivyo kabla ya kutoa maamuzi juu ya wapi kituo kijengwe mkuu wa mkoa huo Mh.Joachim Wangabo kwanza akatoa nafasi kwa wananchi kutoa mapenzekezo yao.

Oswald Lwela makazi wa kijiji cha Kisala Alisema kuwa angependa kituo cha afya kujengwa sehemu ya mbele ya kiwanja cha mpira iliyopo juu ya kilima jambo liliungwa mkono na Rosemary Anika mkazi wa Kijiji cha Kipanga Kata ya Samazi.

Baada ya kusilizikiliza maoni ya wananchi Mh. Wangabo alimwagiza mkurugezi mtendaji wa halmashauri hiyo Palela Msongera kuanza ujezi huo mara moja .

“Wote naona mmekubali jipigieni makofi, mimi nimefanya maamuzi, pale ambapo ninyi mmeshindwa kufanya maamuzi mimi nitafanya maamuzi kwa manufaa ya uuma lakini sijafikia huko kwakua mmeshaongea na wataalamu wangu wameshaongea na Kauli zenu wote zinakubaliana, vyote vinasema uwanja wa mpira mabpo mlishaanza kufanya maandalizi,” Alisema.

Kwa upande wake mkurugezi mtendaji wa hamshauri hiyo Palela Msongera amesema wamejipanga kuanza ujenzi huo mapema na kuwa tangu awali walikuwa wakisubiri mapendekezo ya eneo kutoka kwa wananchi kauli iliyoungwa mkono na mkuu wa wilaya hiyo Mh.Julieth Binyura.

Halmashauri ya wilaya ya Kalambo inajumla ya vituo vya afya vinne hivyo kukamilika kwa kituo hicho kutasaidia wananchi husani kutoka mwambao wa ziwa Tanganyika kuondokana na adha ya kutembea umbali mrefu wakati wa kutafuta huduma za matibabu.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KIDATO CHA PILI 2025 November 05, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • BODI YA USHAURI YA HOSPITALI YA RUFAA SUMBAWANGA YAZINDULIWA, YAAGIZWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA MENEJIMENTI KUBORESHA HUDUMA.

    November 28, 2025
  • PPRA YAANZA MAFUNZO KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA

    December 25, 2025
  • RC MAKONGORO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA AMANI RUKWA , ASISITIZA UOMJA NA KULINDA AMANI KWA MAENDELEO YA MKOA

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa