• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo atoa ushauri baada ya Taifa Stars kufungwa

imewekwa Tar: June 28th, 2019

Mkuu wa mkoa wa Rukwa mh. Joachim Wangabo ametoa ushauri kwa wadau wa michezo nchini kuona namna ya kuimarisha mbinu za kuibua vipaji vya wanamichezo kuanzia ngazi ya shule za msingi katika mashindano ya UMITASHUMTA na UMISETA ili kuweza kuwa na vijana watakaoweza kubeba jina la Tanzania katika michezo.

Amesema kuwa yeye ni miongoni mwa watu waliochelewa kulala ili kuangalia mechi baina Tanzania maarufu kama Taifa Starts na jirani zetu Kenya maarufu kama Harambee Strars ambapo hadi kumalizika kwa mchezo huo Harambee Stars iliibuka kidedea kwa kuilaza Taifa Stars mabao 3 kwa 2.

“Kuna ambao wamelala alfajiri na wengine wapo humu ambao wamelala leo, tunaomboleza kufungwa huku, tungeshinda jana tungekuwa na mwanga wa kusonga mbele, sasa ni kinyume na yalivyokuwa matarajio yetu lakini ndugu wana Rukwa tusikate tamaa, tuendelee kuiunga mkono timu yetu hii ya Taifa, Kufungwa ni kujifunza, tuendelee kujipanga vizuri hasa kwa vijana kuanzia UMISHAMTA huku mpaka UMISETA na kwenye “academy” hizi,” alieleza.

Aidha, alibainisha kasoro kadhaa zinazojitokeza katika ligi yetu ya Tanzania hasa kwa upande wa timu vinara zinazopata nafasi za kwenda kucheza makombe ya Kalbu Bingwa Afrika pamoja na Kombe la Shirikisho kuona namna ya kutoa fursa kwa wachezaji wa kitanzania ili wapate ujuzi wa kimataifa na sio kuwajenga wachezaji wa nje ambao wanakwenda kutumikia nchi zao.

“Hizi timu zetu za Yanga na Simba pamoja na Azama zinafanya vizuri kwasababu zina wachezaji wengi wa kigeni matokeo yake timu ya Taifa inapokwenda kwenye mashindano wachezaji wetu wanabaki wenyewe, angalieni Emanuel Okwi anavuma kule Uganda lakini tumemuwezesha sisi hapa Tanzania,” Alisema.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa