• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo atoa wito kwa wafanyabiashara nchini kununua mahindi Rukwa.

imewekwa Tar: November 9th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ametoa wito kwa wafanyabiashara wote nchini ambao wanahitaji mahindi kufika haraka katika mkoa wa Rukwa kununua zao hilo kwani kumekuwa na ziada ambayo wananchi wanahitaji kuuza lakini soko hakuna.

Amesema kuwa katika wilaya ya Nkasi pekee kuna zaidi ya tani 23,000 za chakula ambacho ni ziada ya wilaya na imekosa wanunuzi na kumuagiza katibu tawala wa Mkoa kuhakikisha anafanya mawasiliano na mikoa mingine ambayo ina upungufu wa chakula ili kuja kununua ziada hiyo ambayo wananchi wamekuwa wakilalamika kukosa soko.

Pia, amemuagiza katibu tawala wa Mkoa kuhakikisha kuwa kunakuwa na mratibu wa mahindi katika kila wilaya ili kuwasaidia wafanyabiashara wa mahindi kutoka nje ya mkoa kupata urahisi wa kununua mahindi na kuwaepusha na utapeli.

 “Tani zaidi ya 23,000 ipo kwenye wilaya moja tu, hii ni fursa kwa wafanyabiashara waliopo kwenye mikoa ambayo ina upungufu wa chakula kuja kununua mahindi na kuyapeleka huko wankoyahitaji, hivyo nakuagiza katibu tawala kuhakikisha kuwa unafanya mawasiliano na mikoa na ambayo ina upungufu pamoja na wafanyabishara wenye kuhitaji ili tuweze kuwasaidia wananchi wetu lakini kuwe na mratibu wa kuweza kusimamia hili ili wafanyabiashara hao wasipate tabu,”

Ameyasema hayo baada ya kusomewa taarifa ya wilaya ya Nkasi iliyobainisha uwepo wa ziada ya tani 23,000 za mahindi kwaajili ya kuuza ambapo wakulima wa wilaya hiyo na kwengineko Mkoani humo wamekuwa wakilalamikia soko la zao hilo.

Kwa upande wake Kaimu Katibu Tawala wa wilaya ya Nkasi Mwanaisha Luhaga alipokuwa akisoma taarifa hiyo alisema kuwa changamoto kubwa inayowakabili hivi sasa ni upatikanaji wa mbolea kwa wananchi ambapo mpaka sasa wilaya imepokea tani 20 tu kati ya 850.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa