• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo awatahadharisha Wakurugenzi na Madiwani kuhusu mapato.

imewekwa Tar: October 9th, 2018

Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amewatahadharisha wakurugenzi wa halmashauri pamojana waheshimiwa madiwani juu ya kuanzisha vyanzo vipya vya mapato ili kuweza kufikia malengo zaidi ya waliyowekewa na Wizara ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa.

Wizara ya OR – TAMISEMI imesema kuwa itawapima wakurugenzi kulingana na makunsanyo ya mapato yao na kuwataka hadi kufikia mwishoni mwa mwaka wa fedha 2018/2019, halmashauri zimetakiwa kufikia asilimia 81 ya ukusanyaji wa mapato.

Katika kuhakikisha azma hiyo inafikiwa Mh. Wanagbo amewaomba waheshimiwa madiwani kuhakikisha kila vikao vyao vinapofanyika agenda ya mapato ipewe kipaumbele na kuwang’ang’ania wakurugenzi na kuwawajibisha wale wote wanaohusika na ukusanyaji wa mapato kwani wao ndio chanzo cha kupata sifa mbaya.

“Waswahili wanasema ‘mchelea mwana kulia hulia yeye’ sasa kama tutawalealea hawa ambao wanatusababishia sisi tusikusanye mapato matokeo yake mkichelea kwenu nyinyi kama viongozi na wawakilishi wa wananchi mtakuja kuhukumiwa kule kwenye kura, “Alisema.

Ameyasema hayo katika kikao cha kamati ya ushauri ya mkoa (RCC) kilichofanyika mwezi huu wa kumi katika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa Mkoa ikijumuisha wadau mbalimbali wa maendeleo, Wabunge, Madiwani, Viongozi wa dini na wataalamu wa Halmashauri na sekretarieti ya mkoa.

Aidha, alizipongeza Halmashauri ambazo zimevuka lengo la makusanyo lililowekwa na Wizara kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ambapo Halmashuri mbili za Wilaya ya Nkasi pamoja na Wilaya ya Sumbawanga zilikusanya kwa asilimia 90, huku Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo ikiwa imekusanya kwa asilimia 63 na Manispaa ya Sumbawanga ikiwa imekusanya asilimia 53.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa