• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo awataka Ma DC kufanya kazi usiku na mchana kutekeleza maagizo ya Serikali

imewekwa Tar: May 8th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amewataka Wakuu wa za wilaya zinazotekeleza ujenzi wa hospitali za wilaya kuhakikisha wanafanya kazi usiku na mchana ili kuweza kukamilisha ujenzi huo kwa wakati ikiwa ni kutekeleza kwa ufanisi maaagizo ya serikali juu ya ukamilishwaji wa ujenzi wa hospitali hizo.

Amesema kuwa hakurudhishwa na maendeleo ya ujenzi wa hospitali mbili za Wilaya ya Nkasi pamoja na Wilaya ya Sumbawanga huku akipongeza ujenzi wa hospitali ya Wilaya ya Kalambo kwa kupiga hatua tofauti na alivyodhania tangu alipotembelea katika eneo hilo la ujenzi wiki tatu zilizopita.

“Katika Wilaya hii ya Kalambo hali ya Ujenzi nikilinganisha na nilivyofika hapa tarehe 19 mwezi wa nne ilikuwa hali ni mbaya, kwasababu mvua zilikuwa zinanyesha magari yalikuwa hayapiti kuja hapa kwa hali hiyo hata vifaa mbalimbali vya ujenzi vilikuwa vinashindwa kufika kwa wakati, lakini hali ya leo baada ya mvua kukatika, hakika waefanya kazi kubwa sana kwasababu hawa ndio walikuwa na changamoto kubwa sana kuliko hospitali zile nyingine mbili, sasa mhandisi fanya kazi hapa usiku na mchana na Mkurugenzi msimamie,” Alisisitiza.

Halikadhalika amewataka wakurugenzi kuhakikisha wanakamilisha malipo ya mafundi ili wasiweze kuzembea na hatimae kujenga chini ya kiwango na kuongeza kuwa wakati wakiendelea kufikia hatua ya usawa wa linta wahakikishe wanaanza kununua vifaa kama milango, mbao kwaajili ya kenchi na mabati tayari kwaajili ya kufikiria hatua ya uwezekaji kwani fedha sio tatizo katika kulifanikisha hilo.

Mh. Wangabo ameyasema hayo alipotembelea hospitali za wilaya tatu ndani ya siku moja kwa kuzunguka zaidi ya kilomita 450 ili kujionea maendeleo ya ujenzi wa hospitali hizo zilizopo katika mkoa huo ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mh. Suleiman Jafo, kuwa kabla ya tarehe 14 majengo yote ya hospitali hizo yanatakiwa kufikia usawa wa linta.

Aidha, Mh. Wangabo amewataka mafundi wote kuhakikisha hadi kufikia tarehe 12 mwezi Mei wanafikia katika usawa wa linta ili kutekeleza agizo hilo kwa wakati na kuwataka wakuu wa wilaya hao kuwafikisha mafundi watakaoshindwa kufukia hatua hiyo katika kamati za ulinzi na usalama za wilaya ili waweze kujieleza.

Mkoa wa Rukwa unatekeleza ujenzi wa hospitali tatu za Wilaya ambazo tayari zimeshapatiwa shilingi Bilioni 1.5 kila Wilaya kwaajili ya ujezni wa majengo saba ya hospitali hizo ambayo yanatakiwa kumaliza na kuanza kutumika ifikapo tarehe 30 mwezi juni mwaka huu.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa