• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo ayaomba mashirika binafsi kuwawezesha Wafungwa wanaoachiwa kwa msamaha.

imewekwa Tar: May 24th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ameyaomba mashirika binafsi kuona umuhimu wa kuwawezesha wafungwa wanaotoka magerezani kupitia mpango wa ‘parole’ ili wafungwa waweze kupata kianzio cha maisha wanaporudi uraiani kuendelea na maisha yao.

Amesema kuwa wafungwa wengi wanaotoka kwa mpango huo wanakuwa wametumikia kifungo cha zaidi ya miaka minne gerezani na watokapo huwa na ujuzi wa kuweza kujiajiri na kuweza kuendelea kulitumikia taifa katika kukuza uchumi na kuacha kuwa tegemezi katika familia.

“Kumbuka kuwa wamekaa zaidi ya miaka minne hivyo wanapotoka kule wanakuwa na changamoto kubwa sana ya kuanza maisha ingawa wanakuwa na ujuzi wao, na wakati mwingine hata jamii inawanyanyapaa, kwahiyo Taasisi zisizo za kiserikali ni vyema zikaunga mkono mpanpo huu ili kuwawezesha kuwapatia kianzio cha maisha n ahata kukuza ujuzi walionao ili wajione ni sehemu ya jamii,” Alifafanua.

Ameyasema hayo wakati wa uzinduzi wa Bodi ya Parole Mkoa wa Rukwa ambayo hudumu kwa miaka mitatu na Mwenyekiti wake aliteuliwa mwishoni mwa mwaka 2017 na kumaliza muda wake mwishoni mwa mwaka 2020.

Akisoma risala mbele ya mgeni rasmi Mkuu wa Magereza   Mkoa wa Rukwa ACP. Simon Ihunja amezitaja changamoto zinazowakumba wafungwa hao wanapotoka gerezani huku kubwa likiwa ni kukosa kuwezeshwa wanapotoka magerezani baada ya kutumikia vifungo vyao.

“Mpango huu huwavutia wafungwa na kuona umuhimu wa kukaa vizuri gerezani ili waweze kutuliwa au kuchaguliwa kumalizia kifungo wakiwa nje, changamoto inayowakumba ni ile ya kwamba wanapotoka wanakuwa hawana kianzio ya kwamba anakwenda kuanza vipi wakati ameshatumikia miaka 10 hadi 15,” Alisema.

Bodi hiyo iliyozinduliwa ni bodi ya sita kutekeleza majukumu yake tangu kuzinduliwa kwa bodi hiyo mara ya kwanza mwaka 2003 na hadi sasa imewanufaisha wafungwa 176 ambapo mmoja wa wafungwa hao alivunja masharti ya bodi hiyo na kukamatwa na kurudishwa tena gerezani.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa