• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo azihimiza Halmashauri kuongeza mashine za mapato kuongeza ukusanyaji

imewekwa Tar: November 17th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amezihimiza Halmashauri zote Mkoani humo kuhakikisha zinaongeza idadi ya mashine za EFD ili kuongeza ukusanyaji wa mapato yao katika halmashauri.

Amesema kuwa kwa mwaka wa fedha 2016/2017 Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga ilikisia kukusanya Shilingi bilioni 2.3 ambapo hadi sasa Wilaya imekusanya Shilingi bilioni 1.9 ikiwa ni ongezeko la asilimia 97 katika makusanyo ya ndani ya Halmashauri hiyo.

“Halmashauri Ziongeze hizo mashine, kama mnavyofahamu serikali hii inahimiza ukusanyaji wa mapato ya ndani kwa kutumia mfumo wa Kielektroniki, wenyewe mmekuwa mashuhuda mmevuka kile kiwango mlichojiwekea na kupata ongezeko la asilimi 97 kama mlivyosoma kwenye taarifa yenu, mkiongeza mashine hizo zikafikia idadi inayotakiwa makusanyo ya ndani yatakuwa mengi zaidi,” Alieleza.

Ameongeza kuwa makusanyo ya ndani yakiwa mengi zaidi itasababisha shughuli za kimaendeleo kufanyika kwa wingi zaidi, ikiwemo ujenzi wa vyumba vya madarasa, huku upungufu wa vyumba hivyo ukiwa ni 1399.

Ameyasema hayo baada ya kusomewa taarifa ya Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga katika Ziara yake ya siku mbili yenye lengo la kutembelea miradi mbalimbali, kujitambulisha kwa watumishi pamoja na kuongea na makundi mbalimbali ya wananchi katika halmashauri hiyo.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa H/W ya Sumbawanga John Msemakweli amesema kuwa hadi sasa Halmashauri ina mashine za Kielektroniki 64 na uhitaji ni mashine 114 na kusababisha upungufu wa mashine 50 huku akiahidi kuzikamilisha ili kuweza kuongeza mapato ya Halmashauri hiyo.

“Tuna upungufu wa vyumba vya madarasa 1399 na hadi sasa kwa mpango wa kujenga vyumba vitatu kwa kila shule tuna vyumba 98 ambavyo vipo usawa wa linta na kwengine tunaendelea kuwahamasisha wananchi kuweza kuchangia katika ujenzi,” Alisema.

Nae Mh. Wangabo aliwaagiuza kuangalia upya mpango wao wa ujenzi wa madarasa hayo kwani itawachukua muda mrefu ikiwa watajenga madarasa 98 kwa mwaka.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa