• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo azitaka halmashauri kununua chaki zinazotengezwa Rukwa.

imewekwa Tar: November 9th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amezitaka halmashauri zote mkoani Rukwa kuhakikisha wananunua chaki zinzotengenezwa na kiwanda cha kikundi cha “Perfect group” kilichopo Manispaa ya Sumbawanga ili kuweza kukuza soko la kiwanda hicho na kuthamini bidhaa za ndani ya mkoa ili kutoa fursa za ajira na kuinua kipato cha kikundi hicho.

Ameyasema hayo katika hafla fupi ya kukabidhi hundi zenye tamani ya shilingi 70,579,000 kwa vikundi mbalimbali 21 vya ujasilimali vikiwahusisha wanawake, vijana na walemavu iikiwa ni utekelezaji wa sera ya uwezeshaji wa makundi hayo katika Halmashauri ya manispaa ya Sumbawanga ambapo Mh. Wangabo ndiye alikuwa mgeni rasmi wa hafla hiyo.

“serikali yetu ya wamu ya tano inasisitiza uanzishwaji na uimarishwaji wa viwanda vyetu vya ndani ili tupunguze kuagiza kutoka nje, sasa kama taifa tunalenga hivyo mkoa na wenyewe uko hivyo hivyo, nilazima tuhakikishe kuwa bidhaa zetu za ndani tunapatia soko ndani hapa hapa na kwa hali hiyo hizi chaki tunazotengeneza wenyewe katika mkoa wetu ni lazima zitumike katika halmashauroi zetu zote,” Alibainisha.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa manispaa hiyo Jacob Mtalitinya aliagiza kuwa shule zote zilizopo chini ya Ofisi yake kuhakikisha wananunua chaki kutoka katika kiwanda hicho ili kukuza soko na mtaji wa kikundi hicho pamoja na kuvitumia vikundi vya usafi katika kushiriki kuiweka manispaa safi na kununua matofali kwaajili ya majengo ya taasisi za serikali katika vikundi hivyo.

“Kiwanda cha chaki ambacho tunakipa mkopo leo, tunaelekeza na ninaelekeza tena shule zangu zote za manipaa tutanunua chaki zote kutoka katika kiwanda hichi kama utekelezaji wa masoko, lakini pia kwa upande wa usafi hatutaajili wakala vikundi hivi vitapewa kazi kwaajili ya usafi, wapo wanaofanya kazi za useremala na kazi nyingine tutaendelea kuwatumia kwenye kazi zetu za ujenzi kama utengenezaji wa “Ma-grill” kuhakikisha wanapata ajira na masoko na mitaji yao iweze kukua,”Alisema.

Shilingi 70,590,000/= inatolewa leo hii ili kuwezesha Vikundi 21 vya ujasiliamali amba  13 ni vya Wanawake  7 vya Vijana na 1 cha Walemavu.vikundi hivi  vinajishughulisha na Usindikaji mafuta, chakula,vinywaji, Useremala, Utengenezaji wa Chaki na ushonaji, ufumaji na utengenezaji wa Mabatiki na Ufugaji wa kuku na ngombe wa maziwa.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa