• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo sisitiza umoja na kusifu huduma ya Hospitali ya Mkoa.

imewekwa Tar: December 11th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa rukwa Mh. Joachim Wangabo amewasisitiza watumishi wa hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Rukwa kufanya kazi kwa ushirikiano pindi wanapotoa huduma kwa wagonjwa wanaofika hospitalini hapo kupata huduma.

Ameyasema hayo alipofanya ziara katika Hospitali hiyo kwa lengo la kujionea ubora wa huduma zinazopatikana katika hospitali hiyo ambapo alipita katika wodi mbalimbali na kuzungumza na wagonjwa kadhaa waliokuwa wamelazwa katika hospitali hiyo.

“lazima tuwe na “team work” tushirikiane, ili tutatue shida na changamoto kwa haraka zaidi, sisi sio watuwa kuanza kunyoosheana vidole kwanini Fulani hukufanya hivi na vile, ukimwambia mwenzio hivyo wewe mwenyewe ulikuwa wapi, wote mnafanya kazi kwenye hospitali moja, tuambiane mapema ili shida iwe yetu sote na mafanikio yawe yetu sote,” Alisema.

Aidha alisifu juhudi za utoaji huduma zinazofanywa na hospitali hiyo baada ya kusikia kutoka katika midomo ya wagonjwa waliolazwa katika hospitali hiyo kuwa hakuna usumbufu wanaoupata na wanahudumiwa vizuri.

Mmoja wa mama mjamzito aliyelazwa katika hospitali hiyo baada ya kufanyiwa upasuaji na kujifungua mtoto Bi. Elizabeth Justin Alisema kuwa tangua afike katika hospitali hiyo amekuwa akihudumiwa bila ya wauguzi kuchoka na kumsikiliza kwa kila shida aliyokuwa akiwaeleza wauguzi hao pamoja na madaktari.

“Tangu nimefika hapa, nimehudumiwa vizuri, nawasifu wauguzi pamoja na madaktari wa hospitali ya Mkoa kwakweli wamenisaidia sana, hakuna changamoto zozote tunazozipata hapa,” Alimalizia.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa