• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

REA KUANZA KUSAJILI NA KUUZA MAJIKO BANIFU MKOANI RUKWA

imewekwa Tar: August 28th, 2025


Sumbawanga, Na Khadija Dalasia

Katibu Tawala wa Mkoa wa Rukwa, Ndugu Msalika Makungu, amepokea ujumbe kutoka Wakala wa Nishati Vijijini (REA) uliokuja kutambulisha mradi mpya wa usambazaji na uuzaji wa majiko banifu kwa bei ya ruzuku.

Akizungumza wakati wa kutoa taarifa ya mradi huo, Mhandisi Kelvin Tarimo alisema kuwa zaidi ya shilingi milioni 291.3 zimetengwa kutekeleza mpango huo katika mikoa mbalimbali ya Tanzania Bara, ikiwemo Rukwa.

Kwa upande wa Rukwa, jumla ya majiko 5,094 yatasambazwa katika wilaya tatu za Kalambo, Sumbawanga na Nkasi, ambapo kila wilaya itapokea  majiko 1,698.

“Mradi huu unalenga kukuza upatikanaji wa nishati safi na endelevu, kupanua matumizi ya teknolojia za kisasa za kupikia na kupunguza utegemezi wa kuni na mkaa ambavyo vinachangia kwa kiasi kikubwa uchafuzi wa mazingira na afya,” alisema Mhandisi Tarimo.

Amesema kuwa REA imeandaa mpango wa kusambaza majiko banifu 200,000 kwa bei nafuu, ambapo gharama ya jiko moja bila ruzuku ni Shilingi 71,500, lakini kupitia ruzuku ya serikali ya asilimia 80, wananchi watanunua kwa bei ya Shilingi 14,300/=.

Akizungumza baada ya kupokea taarifa ya mradi huo, Katibu Tawala wa Mkoa wa Rukwa, Ndugu Msalika Makungu, aliishukuru REA kwa kuunga mkono jitihada za serikali katika kuhakikisha ifikapo mwaka 2034, zaidi ya asilimia 80 ya Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia.

Katika  Mkoa wa Rukwa, usambazaji na uuzaji  wa majiko banifu utafanywa na makampuni ya Greenway Grameen Infra Pvt Limited na ECOMANA Tanzania Limited.

Matangazo

  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KIDATO CHA PILI 2025 November 05, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • MATOKEO YA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 November 05, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MKUU WA MKOA WA RUKWA ATOA WITO KWA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA OKTOBA 29, 2025

    October 27, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI RUKWA LAPOKEA MAGARI MATATU YA KISASA KUIMARISHA SHUGHULI ZA UOKOAJI

    October 27, 2025
  • SERIKALI YATOA PIKIPIKI KWA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WA HALMASHAURI RUKWA

    October 24, 2025
  • MBIO ZA MWENGE ZAENDELEA KALAMBO RUKWA, MIRADI YA MAENDELEO YAENDELEA KUMULIKWa

    September 30, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa