• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Rukwa waanza kuboresha taarifa za wapiga kura wa uchaguzi mkuu

imewekwa Tar: May 3rd, 2020

Mkoa wa Rukwa leo tarehe 2.5.2020 umeungana na baadhi ya mikoa mingine katika kutekeleza awamu ya pili ya zoezi la kuboresha daftari la kudumu la mpiga kura ambapo awamu hii utafanyika katika ngazi ya vituo vya kata ikiwa ni hatua za tahadhari ya kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19)

Hayo yamesemwa na Afisa Serikali za Mitaa Albinus Mgonya wakati akitoa salamu zake katika kikao cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri kilichohusu utekelezaji wa hoja za ukaguzi na mapendekezo ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali nchini, ambapo alisema kuwa zoezi hilo litakamilika tarehe 4.5.2020.

Mgonya alisema kuwa zoezi hilo la kuboresha daftari la kudumu litakwenda sambamba na uwekaji wazi wa daftari la awali la wapiga kura waliojiandikisha katika uboreshaji wa awamu ya kwanza na kuongeza kuwa uwekaji wazi huo unapatikana katika vituo vyote ambapo mwananchi alijiandikisha katika vituo vilivyokuwa vimeainishwa na halmashauri.

“Mheshimiwa Mwenyekiti lengo la hatua hii ni kuwapa fursa wananchi waliojiandikisha awali ili waweze kuhakiki taarifa zao, kwa maana ya kwamba kama majina yamekosewa au na taarifa nyingine kadiri itakavyobidi,” Alisema.

Aidha aliwaweka wazi wahusika wa zoezi hilo kuwa ni wananchi waliotimiza umri wa miaka 18 na kuendelea ambao hawakupata fursa ya kujiandikisha awali,  watakaotimiza umri wa miaka 18 ifikapo Oktoba, 2020, waliojiandikisha na kuhama kata ama jimbo, wananchi wenye taarifa au majina yaliyokosewa wakati wa uandikishaji, waliopoteza kadi zao ama kuharibika.

Halikadhalika aliweka wazi utaratibu wa kuendesha zoezi hilo kwa kuzingatia hatua zote za kiafya zinazotakiwa kuchukuliwa wakati wa kutekeleza zoezi hilo ikiwa ni pamoja na kituo kuwa wazi na chenye nafasi ya kutosha ili kutoruhusu msongamano.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa