• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RUKWA YAANZA RASMI MATUMIZI YA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI KWA ZAO LA MBAAZI NA UFUTA

imewekwa Tar: May 13th, 2025


Sumbawanga,13 Mei 2025.


Mkoa wa Rukwa umeanza rasmi utekelezaji wa mfumo wa stakabadhi ghalani. Katika hatua za awali, katika msimu wa Mwaka 2024/2025 mfumo huo utahusisha zao la mbaazi na ufuta.

Maelezo hayo yametolewa leo Mei 13, 2025 na Mheshimiwa Nyakia Ally Chirukile Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga alipomwakilisha Mheshimiwa Charles Makongoro Nyerere Mkuu wa Mkoa wa Rukwa katika kikao cha Maandalizi ya Msimu wa Masoko ya Mazao kwa Mwaka 2025/2026.


Mkuu huyo wa Wilaya ya Sumbawanga ameeleza kuwa hatua hiyo ya Serikali inalenga kusaidia wakulima kupata soko la uhakika la mazao na bei zenye tija.


Akifafanua juu ya matumizi ya mfumo huyo Mheshimiwa Chirukile ameeleza kuwa kuanzia msimu wa Mwaka 2024/2025, mazao ya mbaazi na ufuta hayatasafirishwa kutoka Halmashauri moja kwenda nyingine pasipo kuthibitisha kuwa yalipatikana kupitia minada ya kidigitali ya stakabadhi ghalani.


Ametoa mfano wa Mikoa ya Lindi na Ruvuma ambako mfumo huo umekuwa ukitumika na kuleta mafanikio. Amewahamasisha wakulima wa Mkoa wa Rukwa kuutumia mfumo huo kwa manufaa yao na sekta ya kilimo kwa ujumla.


Aidha Mheshimiwa Chirukile amewataka viongozi wa Halmashauri, Vyama vya Msingi (AMCOS), pamoja na taasisi wezeshi kama TMX, COPRA na WRRB kusimamia kikamilifu utekelezaji wa mfumo huo ili kuimarisha usimamizi wa soko na ubora wa mazao.

Kikao hicho kimefanyika katika Ukumbi wa RDC ulioko Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa na kuhudhuriwa na Wakuu wa Sehemu na Seksheni kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Kamati ya Usalama ya Mkoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri, Vyama vya Ushirika na Taasisi Binafsi na Wakulima.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RUKWA YAANZA RASMI MATUMIZI YA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI KWA ZAO LA MBAAZI NA UFUTA

    May 13, 2025
  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa